BILLY ISISWE
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 2,666
- 1,053
Hawana chochote .. zaidi ya dawa za kuongeza nguvu. Ndiyo maana anakwenda wale wenginebilly, una tabiko zaidi ukuliko maiti. Alo kunywa supu ya kiti-mtu na pilipili. Mazezetas kweli hawana dactari lazima supu!!
bongo fleva,taarab,gospel,miziki ya kina twanga pepeta,sikinde wanaijua vyema sana[emoji23][emoji23][emoji23]Kwahiyo hata muziki huu wa kisasa mnatuzidi??..wakenya bhana!!
Haya tena 3000SC mmekosa dhahabu. Na kama sio kumtegea yule Muhabeshi msingepata hats hiyo shaba. Hongera kwa shaba ya kutegea10000m wapiiiiiii.... mlitegemea hii. Sasa Wabeshi na Uganda. Wangekwenda wadada wa riadha wawili ndio waziri. Wengine wanaogopa kushuka madawa ya kuongeza nguvu
wakati tu we mwenyewe hujataka kujua, africa nzima inajua kua ukanda huu africa mashariki na kati simba ni on top we kama hujui pole ila haubadilishi chochoteWho told you so?....kwa sport tz haijulikani popote
Weka viwanja vyenu hapa tuone wacha maneno mengi.....The green stadium Kerichowakati tu we mwenyewe hujataka kujua, africa nzima inajua kua ukanda huu africa mashariki na kati simba ni on top we kama hujui pole ila haubadilishi chochote