Timu Namba 1 Kenya Gor Mahia haijalipa wachezaji miezi minne, haiwezi hata kuhudumia maji wakati wa mazoezi

billy, una tabiko zaidi ukuliko maiti. Alo kunywa supu ya kiti-mtu na pilipili. Mazezetas kweli hawana dactari lazima supu!!
Hawana chochote .. zaidi ya dawa za kuongeza nguvu. Ndiyo maana anakwenda wale wengine
 
Social Networks platforms...
Comparing the Followers between Simba SC and Gor mahiya is like comparing apples and oranges

Instagram
 
Tweeter Handles Simba Vs Gor mahiya
Apples and lemons
 
10000m wapiiiiiii.... mlitegemea hii. Sasa Wabeshi na Uganda. Wangekwenda wadada wa riadha wawili ndio waziri. Wengine wanaogopa kushuka madawa ya kuongeza nguvu
Haya tena 3000SC mmekosa dhahabu. Na kama sio kumtegea yule Muhabeshi msingepata hats hiyo shaba. Hongera kwa shaba ya kutegea
 
Tz eti wana ligi bora EA lakini hawana viwanja[emoji81][emoji81][emoji23]...wacha niwape badhi ya viwanja hapa Kenya... Bukhungu stadium
 
Narok stadium [emoji119][emoji91][emoji16][emoji706]
 
Who told you so?....kwa sport tz haijulikani popote
wakati tu we mwenyewe hujataka kujua, africa nzima inajua kua ukanda huu africa mashariki na kati simba ni on top we kama hujui pole ila haubadilishi chochote
 
wakati tu we mwenyewe hujataka kujua, africa nzima inajua kua ukanda huu africa mashariki na kati simba ni on top we kama hujui pole ila haubadilishi chochote
Weka viwanja vyenu hapa tuone wacha maneno mengi.....The green stadium Kericho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…