denooJ
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 18,509
- 68,228
Wadau hii nimeipata mahala nimeona ina make sense.
Kuhusu uwepo wa mashindano ya CAF Super league yatakayoanza mwakani 2023. CAF watachagua timu tatu kutoka kanda zake tano kuwakilisha kwenye hayo mashindano, kanda hizo ni Kaskazini, Mashariki, Magharibi, Kati, na Kusini.
Vigezo vya timu husika ili kuchaguliwa vitakuwa ni uwepo wa timu za vijana na wanawake zinazoeleweka, uwezo wa kiuchumi [uwekezaji], wingi wa mashabiki na uongozi unaoeleweka wenye mipango endelevu kwa timu husika.
Hapa najiuliza, itakuwa vipi kama kutokea kanda moja pakawepo na timu nyingi zinazokidhi hivyo vigezo tajwa hapo juu? Jibu langu ndio linanielekeza kwamba watatumia rankings za CAF kupata washiriki.
Anyway, lets wait and see.
Kuhusu uwepo wa mashindano ya CAF Super league yatakayoanza mwakani 2023. CAF watachagua timu tatu kutoka kanda zake tano kuwakilisha kwenye hayo mashindano, kanda hizo ni Kaskazini, Mashariki, Magharibi, Kati, na Kusini.
Vigezo vya timu husika ili kuchaguliwa vitakuwa ni uwepo wa timu za vijana na wanawake zinazoeleweka, uwezo wa kiuchumi [uwekezaji], wingi wa mashabiki na uongozi unaoeleweka wenye mipango endelevu kwa timu husika.
Hapa najiuliza, itakuwa vipi kama kutokea kanda moja pakawepo na timu nyingi zinazokidhi hivyo vigezo tajwa hapo juu? Jibu langu ndio linanielekeza kwamba watatumia rankings za CAF kupata washiriki.
Anyway, lets wait and see.