Rodwell mTZ
JF-Expert Member
- Nov 16, 2012
- 1,455
- 1,621
Wadau wenzangu wa JF bila shaka hamjambo.
Ikiwa yamebaki masaa kwa mtanange wa ligi kuu ya mpira wa miguu uingereza yaani EPL kuanza naomba tulijadidili hili. hivi ni kxa nini wachambuzi wengi wa soka hapa nchini Tanzania na nchi nyingine za nje wanaitabiria timu ya soka ya Arsenal kumaliza msimu wa ligi ikiwa nje ya nne bora yaani "top 4" ?
Ikiwa yamebaki masaa kwa mtanange wa ligi kuu ya mpira wa miguu uingereza yaani EPL kuanza naomba tulijadidili hili. hivi ni kxa nini wachambuzi wengi wa soka hapa nchini Tanzania na nchi nyingine za nje wanaitabiria timu ya soka ya Arsenal kumaliza msimu wa ligi ikiwa nje ya nne bora yaani "top 4" ?