Off sideKwani imeanza?
Kona anapiga Ismail NaimanaKwani imeanza?
Unaumia ukiwa wapi?Timu inazidiwa ubora hata na Kitayoce
Umesahau timu lako bovu lilivyokuwa linateswa mkwakwani.Timu inazidiwa ubora hata na Kitayoce
Jemima MremboUnaumia ukiwa wapi?
Si inaanza saa 11?Kwani imeanza?
Wana mambo ya ajabuSi inaanza saa 11?
Najua Uto ni washamba sana huwa wanavizia tu nyuzi za live zinazoanzishwa na wana Simba 😂😂
Jemima MremboUnaumia ukiwa wapi?
Mkuu umesahau tulifungwa na timu kutoka Djibouti inayocheza shirikisho ?Timu inazidiwa ubora hata na Kitayoce
Kwa hiyo ili kuendana na mechi hii, ulitaka Yanga wakalale Manzese, wakale mihogo na dagaa pale feli halafu wakodi daladala?View attachment 2729473
wakijikusanya kutoka Hotelini Kariakoo kwenda kucheza na Yanga Chamazi kwenye CAF sasa Angalia Mbwembwe za Upande wa Pili utadhani wanaenda kucheza na Mamelod hivi Zingatia Room hapa Bed & Breakfast ni 50,000 tu
Imeshaanza mkuu, Mpaka sasa magoli ni Yanga 2 Asas 3Si inaanza saa 11?
Najua Uto ni washamba sana huwa wanavizia tu nyuzi za live zinazoanzishwa na wana Simba 😂😂
Peleka timu Yako kama unaona wanaonewaView attachment 2729473
wakijikusanya kutoka Hotelini Kariakoo kwenda kucheza na Yanga Chamazi kwenye CAF sasa Angalia Mbwembwe za Upande wa Pili utadhani wanaenda kucheza na Mamelod hivi Zingatia Room hapa Bed & Breakfast ni 50,000 tu
Kama anapigwa Kwa maneno,sawaLeo Yanga anapigwa, na pengine kutolewa kabisa.
Peleka timu yakoTimu inazidiwa ubora hata na Kitayoce