Jamani Yesu ni wa watu wote si wa walokole peke yao wala dini ya walokole. Mimi namwamini Yesu na amenitendea makuu katika maisha yangu lakini sijiiti mlokole wala si sali kwenye hayo makanisa yanayojiita ya walokole. Uzuri hata waislamu wanayoijua dini yao vizuri wanajua kwamba Yesu bin Mariam ndiye atakayerudi kuhukumu ulimwengu wala sio Mohamed.
Tumtangulize Mungu mbele kwa kila tufanyalo tutafanikiwa.Sishangai kilichotokea kwa Wabrazili.
Tiba
mechi ya jana ilikuwa balaa tupu sikuamini macho yangu ktk kipindi cha pili dk za majeruhi pale ambapo tulipachikwa mabao mawili mpaka timu yetu ya kimarekani ikaanza kuchanganyikiwa.
Kwakweli sikuamini !! Kilichotokea.
Wakati nashangaa kapteni wa brazil akatoboa siri kuwa ushindi wao umetoka kwa jesus,
sikuwahi kuwaza kama yesu unaweza kusaidia mpaka mpirani.
Hakika jina la yesu linauweza mkubwa sana.
Sasa timu yetu ya kimarekani ijipange upya kurudisha heshima.
inamaana hii come back ya brazil kwa usa ndio imetumika kuhubiri kiasi hiki? au inamaana hii ndio come back kubwa sana katika soccer mpaka watu wakaitumia kutolea mifano yote ya dini au? what about come back ya liverpool against ac milan ilikuwa nguvu ya nani? au kwa vile wa brazil walikuwa wana t shirt za "thank you jesus" ? sasa zile mechi zingine ambazo brazil huwa wanapoteza inamaana yesu anakuwa kawanyima ushindi au wanakuwa hawajaomba? in short the best team won thats all coz both teams prayed n after praying then u perform, u dont just sit back and wait for jesus to perform for u.team effort played a big part here.
Mechi ya jana ilikuwa balaa tupu sikuamini macho yangu ktk kipindi cha pili dk za majeruhi pale ambapo tulipachikwa mabao mawili mpaka timu yetu ya kimarekani ikaanza kuchanganyikiwa.
Kwakweli sikuamini !! Kilichotokea.
Wakati nashangaa kapteni wa brazil akatoboa siri kuwa ushindi wao umetoka kwa Jesus,
Sikuwahi kuwaza kama Yesu unaweza kusaidia mpaka mpirani.
Hakika jina la Yesu linauweza mkubwa sana.
Sasa timu yetu ya kimarekani ijipange upya kurudisha heshima.
.
Kwani hawa yesu wako wangapi?
.
Kila moja anadai yesu wake ndio wa kufuata!
Kuna yesu kweli au wajinga ndio waliwao!
Hebu fikiria lile goli lililokataliwa na refa, ingekuwa ni Taifa Stars au Simba ingekuaje? Nafikiri pangetokea na mauaji ya kimbari!!
We need an entertaining and disciplined players like Kaka kule kwetu tz, kama tunataka kufika mbali. Na si bla bla za Simba, Yanga na TFF!