Wajameni nimeikumbuka hii timu enzi zake ikitamba na wachezaji kama Juma Mgunda,Kasongo Athman,Mohamed Mwameja nk.sijui imepotelea wapi,kuna mwenye habari wajameni?
soka la bongo:
katibu wa coastal union-NI HUYO HUYO FRIENDS OF SIMBA
kocha wa kagera sugar-NI HUYO HUYO YANGA ASILI
mmiliki wa moro united-NI KIONGOZI WA FRIENDS OF SIMBA
mmiliki wa african lyon-NI MFADHILI MKUU WA SIMBA
Wajameni nimeikumbuka hii timu enzi zake ikitamba na wachezaji kama Juma Mgunda,Kasongo Athman,Mohamed Mwameja nk.sijui imepotelea wapi,kuna mwenye habari wajameni?