Timu ya Copa Coca-Cola ya Tanzania imeondolewa na timu ya Copa coca ya Zambia muda mfupi uliopita kwa kufungwa goli 1 kwa 0 huko mjini Nakuru nchini ambako mashindano ya Copa coca Africa yanaendele na huku wenyeji Kenya wakimuondosha mashindanoni timu ya Copa coca Ugonda kwa goli 1 kwa 0 pia.
Timu ya Tanzania iliingia hatua ya robo fainali baada ya kuibuka na ushindi wa goli 3 bila majibu na timu ya Afika Kusini katika hatua ya makundi.
Hongereni vijana wa Copa coca Tanzania kwa kufikia hatua hiyo...