Timu ya kwenda Maguri

Amavubi

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2010
Posts
30,156
Reaction score
13,258
namshauri Maguri aende kati ya Mbeya City au Yanga sababu uwezo wake unaendana na mfumo wa timu hizo
 
Dah!
Simba imemshinda, ila ana shape ya kistraika, naona mfumo umemkataa tu! Akienda timu nyingine mambo yatajipa!
 
akijifunza ya Hamis Tambwe atafanya vizuri Yanga pia
 
namshauri Maguri aende kati ya Mbeya City au Yanga sababu uwezo wake unaendana na mfumo wa timu hizo

kilichomshinda simba sio mfumo bali simba ndo hawajui thamani na uwezo wa Maguli.
 
Simba huwa inaongoza kuua vipaji...
 
Simba sasa inatoa macho kwa maguli lakini nasisitiza maguli si wa simba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…