Christopher Wallace
JF-Expert Member
- Dec 8, 2015
- 1,479
- 3,788
Unatumia vigezo dhaifu sana kusema kuwa Wachagga hawajui mpira. Hivi kweli kwa mfano unamfahamu msoni mmoja anaitwa Leodgar Chilla Tenga?Leo timu ya mpira wa miguu ya Mkoa wa Kilimanjaro chini ya miaka 15 imepigwa goli za kutosha na Wapemba. Picha inajieleza zaidiView attachment 1126247
acha zako wewe.... hao wapemba wamejaza vijeba kibao halafu uchawi mwingi.... kilimanjaro waadilifu na waaminifu tumechezesha watoto wa miaka 13 kushuka chini sasa hao vijeba unadhani wangefanya nini?
ni midhuti ya shuveNdiyo mfungwe goli 13-0! Mkubali tu michezo kwa upande wenu siyo kipaumbele.