sembo
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 4,350
- 3,451
SonderjyskE ndio timu anayochezea, mchezaji bora kabisa kuwahi kushuhudiwa katika ukanda wa CECAFA, Emanuel Anord Okwi. Timu hii inazidi kuchanja mbuga katika mbio za kuchukua ubingwa wa Superliga nchini Denmark baada ya jana kutandika mtu goli 4-0.
Hebu cheki hapa chini, mshindi wa Superliga 1 hadi 4 hua anashiriki mashindano gani ya kimataifa;
1. Hufuzu moja kwa moja-UEFA Champions League-in the third qualifying round for champions.
2. Hufuzu moja kwa moja UEFA Champions League third qualifying round for non-champions.
3. Hufuzu moja kwa-UEFA Europa League-in the third qualifying rounds.
4.-Hufuzu moja kwa moja UEFA Europa League-in the second qualifying rounds.
Pia SonderjyskE inashiriki Danish Cup -ambapo bingwa wake hufuzu moja kwa moja UEFA Europa League-in the 4th qualifying round.
Msimamo wa Superliga hadi jana ni kama ifuatavyo;

Ikumbukwe Simba SC ndio iliyomlea Okwi, ikampiga msasa wa kutosha, mpaka akafika hapo alipo.. Hivyo mafanikio ya Okwi ni mafanikio ya Simba SC.
Sasa Okwi, amekua wakimataifa kweli kweli maana mda si mrefu tutaanza kumshuhudia katika ligi kubwa duniani.
Mwisho, Danish Superliga ndio njia panda ya kwenda EPL, La Liga, League One n.k

".. thanks Okwi kwa memory mujarabu ulizotuachia mitaa ya msimbazi. Sana sana siku ile tuliyomtandika mtani mkono" - Sembo!
Hebu cheki hapa chini, mshindi wa Superliga 1 hadi 4 hua anashiriki mashindano gani ya kimataifa;
1. Hufuzu moja kwa moja-UEFA Champions League-in the third qualifying round for champions.
2. Hufuzu moja kwa moja UEFA Champions League third qualifying round for non-champions.
3. Hufuzu moja kwa-UEFA Europa League-in the third qualifying rounds.
4.-Hufuzu moja kwa moja UEFA Europa League-in the second qualifying rounds.
Pia SonderjyskE inashiriki Danish Cup -ambapo bingwa wake hufuzu moja kwa moja UEFA Europa League-in the 4th qualifying round.
Msimamo wa Superliga hadi jana ni kama ifuatavyo;

Ikumbukwe Simba SC ndio iliyomlea Okwi, ikampiga msasa wa kutosha, mpaka akafika hapo alipo.. Hivyo mafanikio ya Okwi ni mafanikio ya Simba SC.
Sasa Okwi, amekua wakimataifa kweli kweli maana mda si mrefu tutaanza kumshuhudia katika ligi kubwa duniani.
Mwisho, Danish Superliga ndio njia panda ya kwenda EPL, La Liga, League One n.k

".. thanks Okwi kwa memory mujarabu ulizotuachia mitaa ya msimbazi. Sana sana siku ile tuliyomtandika mtani mkono" - Sembo!