kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,634
- 7,015
Nimeona polisi wakileta vurugu baada ya mechi na biashara. Tabia hii ni ya kulaaniwa sana kwa vile si ya kiuana michezo.
Kama TFF itawachekea, kuna sikuwa mambo yatakuwa mabaya zaidi hasa pale raia watakapoamua kuingilia ugomvi kama huo.
Sijui sheria inasemaje ila walipaswa kufungiwa kabisa kushiriki ligi inayoangaliwa na TFF. Wacheze ligi za majeshi tuone kama watafanya walichofanya mbele ya majeshi mengine.
Kama TFF itawachekea, kuna sikuwa mambo yatakuwa mabaya zaidi hasa pale raia watakapoamua kuingilia ugomvi kama huo.
Sijui sheria inasemaje ila walipaswa kufungiwa kabisa kushiriki ligi inayoangaliwa na TFF. Wacheze ligi za majeshi tuone kama watafanya walichofanya mbele ya majeshi mengine.