Ubaya Ubwela
JF-Expert Member
- Jul 24, 2024
- 1,353
- 3,060
Timu ya Singida Black Stars imegoma kuingia vyumbani kwenye mchezo wao dhidi ya JKT Tanzania unaochezwa Meja Jenerali Isamuyo, Mbweni.
Singida BS wamegoma kutumia vyumba vya kubadilishia nguo tangu walipowasili uwanjani Meja Jenerali Isamuyo, maelekezo ya ufundi yanafanyika nje.
NB: hawa itakua ni utopolo ndo iliwadanganya tu baada kucheza soka bovu na kuambulia droo
Poor utopoloView attachment 3235507
Singida BS wamegoma kutumia vyumba vya kubadilishia nguo tangu walipowasili uwanjani Meja Jenerali Isamuyo, maelekezo ya ufundi yanafanyika nje.
NB: hawa itakua ni utopolo ndo iliwadanganya tu baada kucheza soka bovu na kuambulia droo
Poor utopoloView attachment 3235507