Timu ya soka ya Urusi yafungiwa miaka minne kushiriki michuano mikubwa

Wachache wenye akili ndio wataelewa
Msichoelewa ni kuwa mzungu hatangulizi mahaba mbele dhidi ya maslai licha ya migogoro yote hiyo FIFA hawawezi ingilia migogoro ya bara Fulani maana ndani ya FIFA wapo warusi wengi tu so unaanzaje kufanya maamuzi ya kinazi dhidi ya warusi kwenye meza moja na mrusi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nlichogundua kuwa Tz kuna mbumbumbu wengi mno wakuu yaani mtu anahusisha hiyo migogoro na sasa huu si umbumbumbu uliotukuka yaani sijui watu wanadhani FIFA ni ya ulaya tu wanasahau FIFA kuwa ni world wide operating kwenye football so ndani ya bodi yao kuna watu wa mataifa mbalimbali wakiwemo warusi wenyewe pia sasa,ifikie muda hizi za siasa zenu uchwara za huku Afrika za kila jambo mnalihusisha na siasa tuziache huku huku kwa ma mbumbumbu wenzenu maana mtaifanya ile watz 3 kati ya 4 ni wajinga iboreshwe na kuwa 4/4 ni wajinga hatutaki tufike huko bhandugu tujipe muda kutafakari kabla ya kutoa hukumu,urusi kufungiwa haihusiani na siasa za duniani au ulaya maana wakianza hivyo na Urusi akijibu basi Ulaya ndo watapata tabu sana so ulaya kufanya hivyo ni ngumu ukizingatia urusi hata kufuzu tu world cup 2022 ni tabu na hii ya 2018 ni kwa kuwa alikuwa host ndio maana akashiriki so kumfungia ni kama wamempa tiketi ya kutojisumbua kwenye qualification

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mawazo yako na maoni yanaheshimiwa ila nawe jifunze kuheshimu mawazo na maoni ya wengine usiite watu mbumbumbu kwa kuwa tu hukubaliani nao
Huenda wakawa sahihi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…