ThisIsAfrikaMozambiq na Rwanda taa zimezima dakkika ya 70, Mozq 2 : Rwanda 0
Duh kumbe walifungiwa hotelini πππWamepambana sana kwasababu walipata changamoto nyingi ikiwa ni pamoja na kufungiwa hotelini
Yeah walipata majanga sana huko,nadhani Egypt walirelax wakadhani watakuja wakiwa stressed na wangejipigia tuDuh kumbe walifungiwa hotelini πππ
Wakenya mumesahau kile kichapo tuliwapa tukawatoa kwenye kinyanganyiro cha kufuzu CHAN πππTanzania mumesahau ile kichapo cha mbwa tuliyowapa Afcon?
https://www.facebook.com/Huku wakiwa wamesafiri kwa shida na ukata mkubwa timu ya taifa ya Kenya imeweza kupata sare ugenini ya 1:1 mbele ya Mafarao wa Misri. Yanga na Zahera wana kitu cha kujifunza.