Timu ya taifa (taifa stars) wanaficha Nini mpaka kuita kikosi kimyakimya Ina maana hawataki mashabiki tujue?

Timu ya taifa (taifa stars) wanaficha Nini mpaka kuita kikosi kimyakimya Ina maana hawataki mashabiki tujue?

NALIA NGWENA

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2016
Posts
10,587
Reaction score
13,425
Kocha wa Taifa stars tayali yupo kambini na kikosi chake Ina maana kikosi kimeitwa kimya kimya.

Source: EFM radio

Kwa Nini wameita kimya kimya wanaficha Nini haswa au Kuna mchezaji Kama FEISAL SALUMU wamemuita wanaogopa kelele za mashabiki??

Ngoja tusubiri mje kujitokeza kutuhamasisha kuwa tukaishangilie timu ya Taifa wakati mnafanya Mambo yenu kimyakimya na mechi mcheze kimya kimya hivyo hivyo.
 
Tunavipa uzito zaidi vilabu hasa Simba na Yanga na siasa zake.

Nasikia safari hii kocha kaleta wachezaji wengi wapya aliowatafuta huko nje. Sijui tunahitaji nini kufuzu ila nadhani hatutoboi.
Dah hii timu bhana
 
Kocha wa Taifa stars tayali yupo kambini na kikosi chake Ina maana kikosi kimeitwa kimya kimya.

Source: EFM radio

Kwa Nini wameita kimya kimya wanaficha Nini haswa au Kuna mchezaji Kama FEISAL SALUMU wamemuita wanaogopa kelele za mashabiki??

Ngoja tusubiri mje kujitokeza kutuhamasisha kuwa tukaishangilie timu ya Taifa wakati mnafanya Mambo yenu kimyakimya na mechi mcheze kimya kimya hivyo hivyo.
We umejuaje
 
Kocha wa Taifa stars tayali yupo kambini na kikosi chake Ina maana kikosi kimeitwa kimya kimya.

Source: EFM radio

Kwa Nini wameita kimya kimya wanaficha Nini haswa au Kuna mchezaji Kama FEISAL SALUMU wamemuita wanaogopa kelele za mashabiki??

Ngoja tusubiri mje kujitokeza kutuhamasisha kuwa tukaishangilie timu ya Taifa wakati mnafanya Mambo yenu kimyakimya na mechi mcheze kimya kimya hivyo hivyo.
Wewe umejuaje? Au na wewe upo kambini?
 
Kocha wa Taifa stars tayali yupo kambini na kikosi chake Ina maana kikosi kimeitwa kimya kimya.

Source: EFM radio

Kwa Nini wameita kimya kimya wanaficha Nini haswa au Kuna mchezaji Kama FEISAL SALUMU wamemuita wanaogopa kelele za mashabiki??

Ngoja tusubiri mje kujitokeza kutuhamasisha kuwa tukaishangilie timu ya Taifa wakati mnafanya Mambo yenu kimyakimya na mechi mcheze kimya kimya hivyo hivyo.
Kwa hiyo uteuzi wa timu haueleweki kama mkataba wa DIPIIWELIDI?
 
Tunavipa uzito zaidi vilabu hasa Simba na Yanga na siasa zake.

Nasikia safari hii kocha kaleta wachezaji wengi wapya aliowatafuta huko nje. Sijui tunahitaji nini kufuzu ila nadhani hatutoboi.
Sio mby kuwatambulisha,next mashindano watumike vzr, better for future
 
Hao wachezaji hawana uraia pacha?

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app

Sio mby kuwatambulisha,next mashindano watumike vzr, better for future
Mimi nafikiri issue iko hapa kwenye hili suala. Hao wachezaji waliokusanywa kusanywa huko, hawawezi kuacha uraia wao kwa nchi hizo kwa hiyo labda wamepewa uraia wa Tanzania fasta fasta na kuna watu wanajishtukia tutaanza kuhoji suala la uraia pacha wao.

Ila kuna watu wamejimilikisha hii nchi, kuna siku tutakuja kuwa na baraza la mawaziri lisilojulikana. Yaani ni utaratibu dunia nzima kikosi cha timu ya taifa kikiitwa lazima kitangazwe maana ni mali ya umma ile.
 
Watakuwa wamechukua mawazo ya Azim Dewj kwamba serikali ifanye mambo yake kwa siri.

Kikubwa kocha aambiwe, Tanzania hatuna uraia pacha.

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom