SPINE
JF-Expert Member
- Dec 11, 2017
- 1,068
- 1,150
Timu ya taifa ( Taifa stars, Twiga stars, Serengeti boys, Ngorongoro heroes nk) kwa nini zinakuwepo wakati wa mashindano tu, ina maana TFF wanaendeleza mchezo wa soccer kwa kiwango cha TAIFA kwa mashindano tu?..... Ni vyema wajitafakari, maana tumekuwa watu wa kuigaiga.
Twiga stars walianza vzr, sasa wanatembeza bakuli... kama imeshindikana hamna haja ya kulazimisha.
kama hakuna wadhamini kuziendesha timu hizo zote basi ni vyema ibaki moja ili iwe na muda wa kutosha kuandaliwa then iwe na ushindani na sio kushiriki tu.
Twiga stars walianza vzr, sasa wanatembeza bakuli... kama imeshindikana hamna haja ya kulazimisha.
kama hakuna wadhamini kuziendesha timu hizo zote basi ni vyema ibaki moja ili iwe na muda wa kutosha kuandaliwa then iwe na ushindani na sio kushiriki tu.