Melubo Letema
JF-Expert Member
- Apr 1, 2020
- 416
- 414
Wanariadha hao 8 wakiwemo wa Mbio za Uwanjani, Mbio ndefu na Mrusha mkuki, wameondoka kwenda Accra , Ghana kushiriki mashindano ya Afrika “All African Games” ambayo yanafanyika huko na yalianza toka tarehe 8 na yataendelea hadi tarehe 23 Machi 2024.