Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 752
Nimeona Tangazo ITV timu ya riadha ya Taifa inaomba misaada ifuatayo ili iweze kushiriki mashindano ya Africa Mashariki mwezi ujao pale uwanja Taifa:
Kilo 300 za Mchele,
Kilo 50 za Chumvi,
Kilo 200 za Sukari,
Kopo 12 za Glucose,
Kambi ya kufanyia mazoezi kwa wiki 2,
Nyama na Maharage ya kutosha...
Hii ni aibu kwa chama cha riadha nchini yaana mnakosa wazamini wa kuwapa fedha mshiriki mashindano yanayofanyika nyumbani??? Shame on you..
Kilo 300 za Mchele,
Kilo 50 za Chumvi,
Kilo 200 za Sukari,
Kopo 12 za Glucose,
Kambi ya kufanyia mazoezi kwa wiki 2,
Nyama na Maharage ya kutosha...
Hii ni aibu kwa chama cha riadha nchini yaana mnakosa wazamini wa kuwapa fedha mshiriki mashindano yanayofanyika nyumbani??? Shame on you..