TIMU YA WANANCHI "YANGA TASAF"

Vyura kujeni huku kuna salamu mujarabu za pongezi kwenu...[emoji5][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji125][emoji125][emoji125]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakati timu ya wananchi inahaha kutembeza bakuli, timu ya nchi inaendelea kuwakilisha nchi kwenye mashindano ya kimataifa

Sent using unknown device
 
mishabiki ya yanga ikiambiwa timu ya wananchi inashangilia huku timu inateketea. Mpira ni biashara siyo kutembeza bakuli halafu unajisifu.
 
Mikia na pesa za urithi..mzee baba anataka hati ya shamba la mkonge..Kanji kaweka bond bank $250m...hivi ameshadeposit 20B???..za chini ya kapeti sirikali wanasubiria mzigo ukiingia wanang'oka nae....batachimbika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…