Timu ya Wanawake ya Zanzibar yaweka rekodi nyingine kwa kufungwa 9-0 na Uganda

Kurzweil

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2011
Posts
6,621
Reaction score
8,411
Timu ya wanawake ya Zanzibar imefungwa kwa tabu na Uganda mabao 9-0 katika mashindano ya chalenji yanayoendelea mjini Jinja nchini Uganda
 
Hawa madada na wao wanataka kuwa mdebwedo nini?
Mechi mbili wanafungwa kwa taabu bao 20?

Ni timu ya taifa, au wamechukua vijana wa shule moja ya sekondari kuwakilisha?
 
Hawa madada na wao wanataka kuwa mdebwedo nini?
Mechi mbili wanafungwa kwa taabu bao 20?

Ni timu ya taifa, au wamechukua vijana wa shule moja ya sekondari kuwakilisha?
Wako vizuri kiongozi we huoni wanafungwa kwa taabu sana halafu we unasema wanataka kuwa mdebwedo haahaaa!!!!
 
Mwanamke wa Kizanzibar na kashkash za mpira wapi na wapi!!!
 
Netball, soccer au mdundiko
 
ha ha ha msemo wa taifa starz huo tumefungwa kwa tabu.. wamewaambukiza hadi wazanzibar

kweli chama cha kijani ni bingwa wa sarakasi.. why wasiende na jecha huko jinja
 
Mwanamke wa Kizanzibar na kashkash za mpira wapi na wapi!!!

Hahahahahaaaa! Haya mambo aisee!
 
Ni haramu kwa mwanamke wa kiislamu kucheza mpira wa miguu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…