Unamuitaje huyo Kwio!!! CR 7 wa Uganda!!!!
Timu ambayo aliwahi kupita "Nguli" toka nchini Uganda.. Emanuel Anord Okwi katika safari yake ya kuelekea Europe.. Etoile Du Sahel.. siku ya leo imefanikiwa kutwaa ubingwa wa CAF Confederations Cup.
Hii ni baada ya kuichapa bila huruma Orlando Pirates kwa jumla ya Goli 2-1.
Safari ya Etoile katika kubeba ndoo ilikua hivi..
View attachment 308260
NOTE: Etoile Du Sahel ndiyo waliozima ndoto za Wazee Wakimataifa kutakata kimataifa.
Hongereni Etoile Du Sahel.
Asante sana Mkuu sembo kwa taarifa hii na kukiri kuwa Young Africans SC ilitolewa na Bingwa wa michuano hiyo:
NB: Etoile du Sahel waliitoa Yanga kwa taabu sana, hapo umeshaelewa Yanga ni timu ya namna gani:
LIVE KUTOKA TUNISIA (FULL TIME...BALL POSSESSION etoile 51% yanga 49%): ETOILE DU SAHEL 1 VS YANGA 0 - SALEH JEMBE
Ni daraja la kwenda kumchukua mwali.
Haha.. Naipokea taarifa yako kwa mikono miwili.
Kuna kikombe kinasubiriwa Yanga maana bila kukutana na hao wababe, Yanga angekuwa bingwa! Kumbuka wote hao wanaufahamu vizuri mziki wa Yanga, waulize watakuambia timu pekee iliyowakosesha raha katika michuano hiyo si nyingine bali ni Young Africans SC ya Tanzania.
Kuna kikombe kinasubiriwa Yanga maana bila kukutana na hao wababe, Yanga angekuwa bingwa! Kumbuka wote hao wanaufahamu vizuri mziki wa Yanga, waulize watakuambia timu pekee iliyowakosesha raha katika michuano hiyo si nyingine bali ni Young Africans SC ya Tanzania.