MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
We ulishawahi kuchukua kombe?Ana uzoefu wa kutolewa
Uoiskia wapi?We ulishawahi kuchukua kombe?
Wewe ulishaleta kombe gani tokea ushiriki iyo michuano? Kama ujawai basi kaa kimya auna tofauti na washiriki wengine kwa maana sifa zenu wote zinafanana kiuzoefu wa kushiriki na sio vinginevyo, pia kwenye ilo kundi wapo biashara, namungo, na kmc zote izo zina uzoefu wa kushiriki michuano iyo kama simba anavyoshiriki!“Nimewaona Orlando Pirates ni hatari sana, Simba ni wa kawaida kabisa. Hawawezi kushindana na timu kama Orlando. Mimi nina uzoefu kwenye mechi za kimataifa sioni Simba wakisonga mbele.” - Fredrick Mwakalebela Makamu Mwenyekiti Yanga SC.
Taarifa: Sports Arena Wasafi FM
Mwalimu wangu wa Saikolojia aliwahi kutuambia kuwa huwezi kuwa Mnene Kupindukia na ukawa na Kitambi kama Pipa la DAWASA Goba ukawa sawasawa Kichwani ( Kiakili ) na sasa naanza Kumuamini 100%.
The last paragraph got me rolling [emoji1787][emoji1787][emoji1787]“Nimewaona Orlando Pirates ni hatari sana, Simba ni wa kawaida kabisa. Hawawezi kushindana na timu kama Orlando. Mimi nina uzoefu kwenye mechi za kimataifa sioni Simba wakisonga mbele.” - Fredrick Mwakalebela Makamu Mwenyekiti Yanga SC.
Taarifa: Sports Arena Wasafi FM
Mwalimu wangu wa Saikolojia aliwahi kutuambia kuwa huwezi kuwa Mnene Kupindukia na ukawa na Kitambi kama Pipa la DAWASA Goba ukawa sawasawa Kichwani ( Kiakili ) na sasa naanza Kumuamini 100%.
Naomba kukumbusha tu mtoa mada [emoji1313][emoji1313][emoji1313]We kolo yanga kashiriki haya mashindano ya kimataif said ya mara 28 akiwa bingwa wa ligi yetu sasa mwakalebela anakosaje uzoefu?
Uzoefu wa kuangalia mpira kwenye tv 📺We kolo yanga kashiriki haya mashindano ya kimataif said ya mara 28 akiwa bingwa wa ligi yetu sasa mwakalebela anakosaje uzoefu?
Na yanga ina point 0.5 ilizokusanya tangu 1935 [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sawa simba Ina makombe 5 ya CAF.
Aisee...We kolo yanga kashiriki haya mashindano ya kimataif said ya mara 28 akiwa bingwa wa ligi yetu sasa mwakalebela anakosaje uzoefu?
Mashabiki wa clubs za Tanzania tuna shida kubwa sana, kufanikiwa kwa Timu moja ni uadui kwa timu inayobwabwaja. Sioni haja ya kushambuliana hivi. Kama timu zote mlikuwa CAF, wewe ukacheza ukavurunda, iweje uanze na uadui kwa yule aliyefanya vizuri, yaan ujinga ujinga tuAisee...
Wote ni wale wale tuKosa kubwa na bomu linaloandaliwa yanga ni kujiona wapo sawa au wamwazidi simba na kuanzisha propaganda za kuichafua simba ili ionekana inashinda kibahati au inabebwa huku ikimuacha mbali yanga katika mashindano ya kimataifa na siku wakija kushtuka itakuwa wameshachelewa.
utoh acha kujitoa ufahamu... hivi hujui simba kwenye michuano ya kimataifa ana point 28 na utoh mna point 0. 5 huoni utofauti hapo..Wewe ulishaleta kombe gani tokea ushiriki iyo michuano? Kama ujawai basi kaa kimya auna tofauti na washiriki wengine kwa maana sifa zenu wote zinafanana kiuzoefu wa kushiriki na sio vinginevyo, pia kwenye ilo kundi wapo biashara, namungo, na kmc zote izo zina uzoefu wa kushiriki michuano iyo kama simba anavyoshiriki!
hapana simba ina point 28 utoh amazing 0. 5 huoni utofauti hapo???Wote ni wale wale tu
Points ni kombe?hapana simba ina point 28 utoh amazing 0. 5 huoni utofauti hapo???
Mkuu ,Kwani kumpeleka Yanga viti maalumu siyo mafanikio?Points ni kombe?