MENEMENE TEKERI NA PERESI
JF-Expert Member
- Mar 11, 2022
- 5,392
- 14,646
Kanasa kwenye tundu bovu kumbe yupo kwenye kundi la mashabiki wanaopitia mateso makali sana kwa mafanikio ya YangaUmejificha kwenye kichaka cha mchicha ukizani hatukuoni,ile leo tumekuona.
Toka lini?mimi ni yanga kuliko wewe
Azam FC hii unayoona bora wewe haiwezi chukua point 6 Simba mzee ata iwe mbovu. umesahau msimu uliopita Simba ilikuwa dhoofu ila mechi na Azam kule CCM kirumba walifanya nini ?🤔 simba anapigwa na azam inje ndani
Washabiki wa Yanga ni nadra kuongelea ubaya wa timu yao tofauti na Simba huwa wanakandia timu yao,kumbuka kipindi cha Yanga wanatembeza bakuli wote waliungana na walijaa uwanjani mikoani uko pesa zilichangwa,,ila Simba saivi mtikisiko kidogo tu wanavurugana mpk nje kwa mashabiki hawataki viongozi . Kwaiyo ilo la kusema wewe Yanga haiwezekani ni uongo wa wazi mzee nyuzi zako zipo wazimimi ni yanga kuliko wewe
mbona vita kisa nipo azam fc msimu huuKanasa kwenye tundu bovu kumbe yupo kwenye kundi la mashabiki wanaopitia mateso makali sana kwa mafanikio ya Yanga
amini mimi yanga.Washabiki wa Yanga ni nadra kuongelea ubaya wa timu yao tofauti na Simba huwa wanakandia timu yao,kumbuka kipindi cha Yanga wanatembeza bakuli wote waliungana na walijaa uwanjani mikoani uko pesa zilichangwa,,ila Simba saivi mtikisiko kidogo tu wanavurugana mpk nje kwa mashabiki hawataki viongozi . Kwaiyo ilo la kusema wewe Yanga haiwezekani ni uongo wa wazi mzee nyuzi zako zipo wazi
this season naona imekuwa much better and very competitive compared to the previous season.Azam FC hii unayoona bora wewe haiwezi chukua point 6 Simba mzee ata iwe mbovu. umesahau msimu uliopita Simba ilikuwa dhoofu ila mechi na Azam kule CCM kirumba walifanya nini ?
What makes you undermining Simba Sports Club over Azam FC while their head to head performance and records are quite clear ?this season naona imekuwa much better and very competitive compared to the previous season.
I believe simba won't grab a point.
Kwani ulisikia ushabiki mtu analazimishwa? Sio msimu huu tu kuwa Azam milele na pia dili na timu yako ya Azam kwanzia sasa, hatutaki nyuzi zako mara Gamondi sio kocha mara Dube na Boka Yanga wamepigwa.mbona vita kisa nipo azam fc msimu huu
Kuna nyuzi ngapi zilionesha ilo au unajificha tu kwasabb zako za msingi? kiri ili wadau wataheshimu maamuzi na sababu zako binafsiamini mimi yanga.
Na vita na manara tu Yanga. kaondoka sina noma na yanga.
azam fc has a new demographic foreign players. with cafcl Dreams.What makes you undermining Simba Sports Club over Azam FC while their head to head performance and records are quite clear ?
Wewe umejifucha kwenye shamba la michicha ukazani huonekani.amini mimi yanga.
Na vita na manara tu Yanga. kaondoka sina noma na yanga.
Samahani uwa sipendi kutumia lugha ya kiingereza katika uwanja huu wa mtandao ivo basi ,nitaendelea kukujibu kwa lugha yangu mama haijarishi wewe utatumia lugha gani,,,ivo usishangae ni maamuzi tu.azam fc has a new demographic foreign players. with cafcl Dreams.
they an edge over simba, In attack and defence,
they will probably give simba a tough game. than last season
amini mimi yanga.
Na vita na manara tu Yanga. kaondoka sina noma na yanga.
You are warmly welcome Mr DanielmwasiAfter several reviews of the last 2 matches, I came to the conclusion that Azam FC has the best squad in the Tanzania NBC Premier League.( team bora sana)
I know people will say Yanga FC has the best team, but if you remove the first 11 of both teams, Azam FC has more squad depth in terms of individual quality players in every position.
The league will probably be a two-horse race, with either Azam FC or Yanga SC as the core winner of the league.
I predict the gap points will be very small. Yanga has an edge, but Azam will be the surprise of the season.
Yeah. I didn't include Simba for a reason; they simply have no chance of winning the league or the FA Cup.
The majors will be distributed between Azam and Yanga; Simba may win in the 2026/27 season. Why?
Azam FC will still have a better squad next year..
all in all. I will be betting on azam fc this season in every match and probably core league winners too
peace out.
I don't have a permanent enemy in sports nor a permanent friend.
Huyo mbona tulishamjua muda mrefu kuwa ni Kolo bin mbumbumbu,sasa kaona maji yashamfika shingoni anaenda kupeleka gundu Azam.Nifah, Frank Wanjiru, adriz , New City, Kitoabu, Tate Mkuu kumbe huyu jamaa siku zote alijificha kwenye kujifanya Yanga, na nyuzi zake za kuleta taharuki kumbe ni kijana wa Rage. Leo katema nyongo na kujidhihirisha ana machungu kiasi gani na Simba yake. Kumbe alikuwa na mission maalumu ya kuivuruga Yanga.
Hamuna mtu hapo.Nifah, Frank Wanjiru, adriz , New City, Kitoabu, Tate Mkuu kumbe huyu jamaa siku zote alijificha kwenye kujifanya Yanga, na nyuzi zake za kuleta taharuki kumbe ni kijana wa Rage. Leo katema nyongo na kujidhihirisha ana machungu kiasi gani na Simba yake. Kumbe alikuwa na mission maalumu ya kuivuruga Yanga.