Hili kundi kashinda mmoja tu game zote nneSawa ila mazembe atapita
Nilisikia mahojiano fulani kutoka Congo kabla ya mechi hii bt nimesahau chanzo ila nakumbuka fact...ni kwamba kwa TP Mazembe Katumbi ameshusha budget ya timu kutoka milioni 10 kwa wiki kufikia milioni 5...pia wamekuwa wakisajili wachezaji ambao ni average hata wakutoka nje ya nchi na hivyo timu kushuka kiuwezo.Kuna mdau alishasema humu kwamba,msimu huu hawajasajili, As Vita wana ukarabati mkubwa wa uwanja wao,vilevile waliuza sana wachazaji wao. Tp Mazembe nao wana project kubwa pia msinu huu wamepromote wachezaji vijana ila msimu ujao watakuwa moto.
Hapa kuna neno, nikimkumbuka yule wa Mbeya City jina nimelisahau kidogo, na Singano naona kuna point hapo.Nilisikia mahojiano fulani kutoka Congo kabla ya mechi hii bt nimesahau chanzo ila nakumbuka fact...ni kwamba kwa TP Mazembe Katumbi ameshusha budget ya timu kutoka milioni 10 kwa wiki kufikia milioni 5...pia wamekuwa wakisajili wachezaji ambao ni average hata wakutoka nje ya nchi na hivyo timu kushuka kiuwezo.
Ni kweli lkn sio sababu sana,cz hao al ahly pia wana pjrct ya viwanja vya michezo tena hicho kituo hadhi ya OlympicKuna mdau alishasema humu kwamba,msimu huu hawajasajili, As Vita wana ukarabati mkubwa wa uwanja wao,vilevile waliuza sana wachazaji wao. Tp Mazembe nao wana project kubwa pia msinu huu wamepromote wachezaji vijana ila msimu ujao watakuwa moto.
Sio kwamba haziko vizuri, ila wapinzani wao wako vizuri zaidi yaoVITA NA MAZEMBE MSIMU HUU HAZIKO VIZURI KABISA
Sawa sawa budget imeshuka imesajiri wachezaji wa kawaida Sana, djedje,baleke,tshibangu,beya ,kifupi lescobeaux /Mazembe na black dolphins/Vclubien hawana timu nzuri msimu huuNilisikia mahojiano fulani kutoka Congo kabla ya mechi hii bt nimesahau chanzo ila nakumbuka fact...ni kwamba kwa TP Mazembe Katumbi ameshusha budget ya timu kutoka milioni 10 kwa wiki kufikia milioni 5...pia wamekuwa wakisajili wachezaji ambao ni average hata wakutoka nje ya nchi na hivyo timu kushuka kiuwezo.
Ambokile na singano walishaondoka Mazembe, kabaki ulimwengu tuHapa kuna neno, nikimkumbuka yule wa Mbeya City jina nimelisahau kidogo, na Singano naona kuna point hapo.
Wameelekea wapi?Ambokile na singano walishaondoka Mazembe, kabaki ulimwengu tu
SawaSio kwamba haziko vizuri, ila wapinzani wao wako vizuri zaidi yao
Wapo bench uko nkana fc kwa mkopoWameelekea wapi?
Singano yuko ZambiaWameelekea wapi?
Kweli wasingeweza kusajili wachezaji kiwango cha Singano na Atupele! kwa namna ilivyokuwa TP MazembeNilisikia mahojiano fulani kutoka Congo kabla ya mechi hii bt nimesahau chanzo ila nakumbuka fact...ni kwamba kwa TP Mazembe Katumbi ameshusha budget ya timu kutoka milioni 10 kwa wiki kufikia milioni 5...pia wamekuwa wakisajili wachezaji ambao ni average hata wakutoka nje ya nchi na hivyo timu kushuka kiuwezo.
Vita uji, TP Mazembe mtori, watu wanajinywea tu, wanatakiwa kutuliza vichwa wajenge upya vikosi vyao.
Vita kupata draw away kwa Al Ahly kumbe ilikuwa ni bahati tu, walitakiwa kufa sio chini ya goli nne ni vile tu washambuliaji wa Ahly hawakuwa makini, leo Vita katandikwa nyumbani kwake na muarabu 3-0.
Hao Mazembe nao mbele ya Mamelodi Sundowns hawana chao, wanahitaji muujiza kushinda away kwa wale wasauz wanaopiga mpira kama hawana akili nzuri, nionavyo viwango vya hizi timu mbili za Congo vimeanza kushuka.