willy ze great
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 1,071
- 1,303
Hizi ni taarifa nzuri kwa timu ya utopolo ni baada ya jana CAF kuziondoa timu za libya kwenye clab bingwa Africa na kombe la shirikisho kutokana na ligi hiyo kusimama kwa misimu miwili hivo ni wazi sasa tanzania wenye point 14 tukachukua nafasi ya libya.
Football clubs in Libya have been excluded by the Confederation of African Football (CAF) from participating in its Champions League and Confederation Cup competitions next season (2020 – 2021) due to the suspension of the Libyan National League for two consecutive years.
Football clubs in Libya have been excluded by the Confederation of African Football (CAF) from participating in its Champions League and Confederation Cup competitions next season (2020 – 2021) due to the suspension of the Libyan National League for two consecutive years.