Timu za Premier League Zaweka Rekodi....

Germany 3
Ni NNE mkuu....pitia tofuti ya UEFA ujiridhishe. Mwaka huu zilikuwa Bayern Munich, Borussia Dortmund, RB Leizpig na Hoffenheim (hii ilitolewa na Liverpool kwenye qualification round)
 
Ingekuwa UK wanatakiwa wawe na nafasi 4 tu, kama ulivyosema. Basi mshindi wa 4 angeondelewa ili Man U achukue nafasi yake. Kama ameenda na Man U wameenda ujue hujui taratibu zake.
EPL wana nafasi 4 tu kufuzu UEFA.. Siku zote mshindi wa EUROPA anafuzu moja kwa moja UEFA msimu unaofuata! Hili ndio limefanya UK wawe na wawakilishi 5 msimu huu
 
Mnajidai sio mtatukuta hatua zijazo#madridsta#
 
Ni NNE mkuu....pitia tofuti ya UEFA ujiridhishe. Mwaka huu zilikuwa Bayern Munich, Borussia Dortmund, RB Leizpig na Hoffenheim (hii ilitolewa na Liverpool kwenye qualification round)
basi sikukuelewa vizuri mzee, ila mimi nilimaanisha zile zilizofuzu moja kwa moja hatua ya makundi bila kupitia kwenye play-offs
 
basi sikukuelewa vizuri mzee, ila mimi nilimaanisha zile zilizofuzu moja kwa moja hatua ya makundi bila kupitia kwenye play-offs
Hizo nafasi nne moja ilikuwa anaanzia qualifiers(mshindi wa nne) ndio maana Liverpool alicheza na Hoffenheim, Liverpool akapita. Ila kuanzia 2018 timu zote nne zitaingia hatua ya makundi, hakutakuwa na qualifiers.
 
kesho tutajua nani atasonga na nani atatupwa nje......
atakae pagwa na madrid aanze kufungasha....
atakae pangwa na juventus aanze fungasha....
hadi hapo zitabakia 3
Real Madrid huyu huyu aliyechapwa na Totenham?
 
Utashangaa wanapangwa wao kwao Chelsea vs man u liver vs man city af tote vs Barcelona
 
Utashangaa wanapangwa wao kwao Chelsea vs man u liver vs man city af tote vs Barcelona
Haiwezekani mzee, wote kasoro chelsea watakuwa kwenye pot moja hivyo haiwezi kutokea wakajikuta wanakutana..

The most possible case scenario ni Liver/Man U/Man City/Spurs vs Chelsea na sio vinginevyo. I hope umeelewa
 
Uefa champions league ya msimu ujao Italy itaingiza timu nne.
 
Haiwezekani mzee, wote kasoro chelsea watakuwa kwenye pot moja hivyo haiwezi kutokea wakajikuta wanakutana..

The most possible case scenario ni Liver/Man U/Man City/Spurs vs Chelsea na sio vinginevyo. I hope umeelewa
Utashangaa wanapangwa wao kwao Chelsea vs man u liver vs man city af tote vs Barcelona
Timu za kundi moja au nchi moja haziwezi kukutana last 16 labda robo fainali na kuendelea.
 
Uefa champions league ya msimu ujao Italy itaingiza timu nne.
Italy,Russia wameongezewa moja huku Portugal kapunguziwa moja...hivyo kuanzia 2018/19
England,Germany,Italy na Spain kila nchi nafasi NNE. Huku France na Russia nafasi tatu na Portugal mbili.
 
Uefa wanaanza kuhesabu hapo. Kwahiyo mwakani itaongezeka nafasi moja.
Mwakani haitaongezeka nafasi moja, itabakia vile vile timu nne za epl ndio zitakazofuzu kucheza champions league. Labda itokee Arsenal au timu yoyote ya epl ichukue kombe la europa league halafu asiwepo kwenye top 4. Na swala la kuingia timu tano; msimu wa uefa champions league mwaka 2016-2017 spain walipata nafasi ya kuingiza timu tano kwenye uefa champions league baada ya Sevilla kuchukua kombe la europa league lakini kashindwa kuingia top 4 (alishika nafasi ya 7) hivyo ikafanya Barcelona, Real madrid, Atletico madrid na sevilla kuingia moja kwa moja kwenye hatua ya makundi. Na timu ya villareal ambayo ilishika nafasi ya nne kucheza playoff ya champions league kama sheria ilivyo kwa timu ninazoshika nafasi ya 4 Uingereza, Hispania na Ujerumani zinacheza playoff.
 
Rekodi ya EPL ni hizo timu zote tano kuingia last 16.
 
Rekodi ya EPL ni hizo timu zote tano kuingia last 16.
Hilo mimi nalijua, nilikuwa namjibu jamaa aliyesema kuwa epl itaongeza nafasi moja mwakani kutoka kwenye idadi ya timu nne hadi kuwa timu tano kwakigezo cha kuongezeka points
 
Kuna nafasi kubwa timu zote za England kuingia robo fainali ya Champions League...Chelsea pekee ndio ana kigongo wengine washindwe wenyewe tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…