TIMU ya soka ya Prisons ya Mbeya jioni hii imeanza vibaya michuano ya kombe la Tusker baada ya kufungwa mabao 2-0 na Tusker ya Kenya katika mchezo uliochezwa katika uwanja wa Taifa Dar es Salaam.
Mabao ya Tusker yalifungwa na Francis Oduor katika dakika ya 43 na la pili lilifungwa na Oscar Kadenge katika dakika ya 70.
Mchezaji Yona Ndabila wa Prisons alitolewa kwa kadi nyekundu katika dakika ya 51 baada ya kuonyeshwa kwa mara ya pili kadi ya njano.
Michuano hiyo itaendelea kesho kwa mchezo kati ya Yanga na timu ya Mamlaka ya Mapato Uganda (URA).
Habari na NIFAHAMISHE Tanzania news portal .: Habari za Tanzania :.
Tatizo la timu zetu liko wapi?
Mabao ya Tusker yalifungwa na Francis Oduor katika dakika ya 43 na la pili lilifungwa na Oscar Kadenge katika dakika ya 70.
Mchezaji Yona Ndabila wa Prisons alitolewa kwa kadi nyekundu katika dakika ya 51 baada ya kuonyeshwa kwa mara ya pili kadi ya njano.
Michuano hiyo itaendelea kesho kwa mchezo kati ya Yanga na timu ya Mamlaka ya Mapato Uganda (URA).
Habari na NIFAHAMISHE Tanzania news portal .: Habari za Tanzania :.
Tatizo la timu zetu liko wapi?