Timu za Tanzania zaendeleza uteja Tusker Cup Leo

Timu za Tanzania zaendeleza uteja Tusker Cup Leo

Babuji

Senior Member
Joined
Nov 27, 2008
Posts
197
Reaction score
4
TIMU ya soka ya Prisons ya Mbeya jioni hii imeanza vibaya michuano ya kombe la Tusker baada ya kufungwa mabao 2-0 na Tusker ya Kenya katika mchezo uliochezwa katika uwanja wa Taifa Dar es Salaam.

Mabao ya Tusker yalifungwa na Francis Oduor katika dakika ya 43 na la pili lilifungwa na Oscar Kadenge katika dakika ya 70.

Mchezaji Yona Ndabila wa Prisons alitolewa kwa kadi nyekundu katika dakika ya 51 baada ya kuonyeshwa kwa mara ya pili kadi ya njano.

Michuano hiyo itaendelea kesho kwa mchezo kati ya Yanga na timu ya Mamlaka ya Mapato Uganda (URA).

Habari na NIFAHAMISHE Tanzania news portal .: Habari za Tanzania :.

Tatizo la timu zetu liko wapi?
 
Tatizo la timu za Tanzania liko wapi? zote zinafungwa tu!!
 
TIMU ya soka ya Prisons ya Mbeya jioni hii imeanza vibaya michuano ya kombe la Tusker baada ya kufungwa mabao 2-0 na Tusker ya Kenya katika mchezo uliochezwa katika uwanja wa Taifa Dar es Salaam.

Mabao ya Tusker yalifungwa na Francis Oduor katika dakika ya 43 na la pili lilifungwa na Oscar Kadenge katika dakika ya 70.

Mchezaji Yona Ndabila wa Prisons alitolewa kwa kadi nyekundu katika dakika ya 51 baada ya kuonyeshwa kwa mara ya pili kadi ya njano.

Michuano hiyo itaendelea kesho kwa mchezo kati ya Yanga na timu ya Mamlaka ya Mapato Uganda (URA).

Habari na NIFAHAMISHE Tanzania news portal .: Habari za Tanzania :.

Tatizo la timu zetu liko wapi?

Mods; Hii iunganishwe na ile nyingine ya Tusker Challenge Cup updates
 
Back
Top Bottom