Timu zetu za mpira zinajifunza au zinashangaa kombe la dunia?

zandrano

JF-Expert Member
Joined
Jan 24, 2017
Posts
7,893
Reaction score
8,816
Mashindano ya Kombe la dunia yameanza rasmi nchini Qatar.

tutashuhudia, umahiri wa hali ya juu jinsi ya kusakata kandanda, tutashuhudia akili, maarifa na bidii ya timu na wachezaji mmoja mmoja.

Swali: Je, timu zetu za Tanzania, zinajifunza au zitaendelea kushangaa na kushangilia kama mashabiki tu?
 
Unaposema "timu zetu za Tanzania zinajifunza, au zitaendelea kushangaa na kushangilia kama mashabiki tu?" Unamaanisha nini?

Maana hilo kombe la dunia linahusu timu za Taifa! Na wala siyo vilabu kama hivi vya Yanga na simba.
 
Unaposema "timu zetu za Tanzania zinajifunza, au zitaendelea kushangaa na kushangilia kama mashabiki tu?" Unamaanisha nini?

Maana hilo kombe la dunia linahusu timu za Taifa! Na wala siyo vilabu kama hivi vya Yanga na simba.
wachezaji wa timu zetu zote wanapswa watumie mashindano haya kujifunza zaidi mambo mengi yakiwamo;
nidhamu, akili, mbinu na kujituma ambvyo vitaonyeshwa na wachezaji mbalimbali katika michuano hii, wasie mashabaki tu bali watumie mashindano haya kama drasa kwo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…