TIN Number kutoonekana kwenye Recruitment portal ya TRA

TIN Number kutoonekana kwenye Recruitment portal ya TRA

St Athan

New Member
Joined
Feb 12, 2025
Posts
3
Reaction score
1
Habari Wadau,

Nakutana na changamoto ya usajili wa TIN number kwenye recruitment portal ya TRA, ambapo kila nikijaribu kuingiza number husika za TIN na kuzi-save, mfumo unaleta msg kwamba zimekuwa saved successfuly, lakini baada ya muda sehemu ya TIN yenye asterisk inabaki wazi tena.

Je, kwa waliokutana na changamoto hii, au wenye uelewa wa namna ya kufikia suluhisho la tatizo husika ni process zipi zinapaswa kufanyika ili kufikia utatuzi sahihi?
TRA Tanzania

Shukran.
 
Inatakiwa ukishasajili akaunti yako kwa kuweka namba ya NIDA na taarifa zingine,. ukienda ku login akaunti yako ikifunguka ukute TIN na picha yako automatically,.. ukiona haipo hivyo ujue mfumo umepata changamoto ya kufanyia kazi taarifa zako.

Suluhisho,.. mimi nilipata changamoto kama yenu so nilichoamua kufanya nikatengeneza akaunti nyingine kwa kutumia email yangu nyingine, ndiyo nikafanikiwa kukuta TIN automatically kwenye akaunti.
 
Inatakiwa ukishasajili akaunti yako kwa kuweka namba ya NIDA na taarifa zingine,. ukienda ku login akaunti yako ikifunguka ukute TIN na picha yako automatically,.. ukiona haipo hivyo ujue mfumo umepata changamoto ya kufanyia kazi taarifa zako.

Suluhisho,.. mimi nilipata changamoto kama yenu so nilichoamua kufanya nikatengeneza akaunti nyingine kwa kutumia email yangu nyingine, ndiyo nikafanikiwa kukuta TIN automatically kwenye akaunti.
Mkuu nimejaribu kufanya ivyo ila nikaambiwa NIDA ishatumika kwa email ingine.
 
Mkuu nimejaribu kufanya ivyo ila nikaambiwa NIDA ishatumika kwa email ingine.
Duh basi itakua wame update mfumo wao,.. mimi nilifanikiwa kwa kutumia email nyingine baada ya kuona TIN na picha ya NIDA haijatokea automatically.

Sasa kama imekua hivyo unaweza ukatuma tu application, au ikiwezekana wapigie simu ili kuondoa wasiwasi,.
 
Duh basi itakua wame update mfumo wao,.. mimi nilifanikiwa kwa kutumia email nyingine baada ya kuona TIN na picha ya NIDA haijatokea automatically.

Sasa kama imekua hivyo unaweza ukatuma tu application, au ikiwezekana wapigie simu ili kuondoa wasiwasi,.
Mimi picha ipoo ni TIN tu
 
 
Back
Top Bottom