Tindikali ukeni

Mine eyes

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2016
Posts
6,496
Reaction score
7,162
Habari wakuu..
Ni hivi...
Kuna dawa ya kupunguza acid inayotoka kwenye uke ambayo ikizidi huweza kuuwa sperms za mwanaume na kusababisha tatizo la kuto shika mimba?
Zipi?
 
Habari wakuu..
Ni hivi...
Kuna dawa ya kupunguza acid inayotoka kwenye uke ambayo ikizidi huweza kuuwa sperms za mwanaume na kusababisha tatizo la kuto shika mimba?
Zipi?
Can you give the biology of your contention, does that exist
 
Habari wakuu..
Ni hivi...
Kuna dawa ya kupunguza acid inayotoka kwenye uke ambayo ikizidi huweza kuuwa sperms za mwanaume na kusababisha tatizo la kuto shika mimba?
Zipi?
Vyakula punguza kula vyakula vya wanga kama wali, viazi, chapati na ugali na nyama nyekundu, ongeza kula matunda na kunywa maji. Mboga za majani na ikiwezekana chemsha ndizi za kijani ule na mchicha au cabbage.
 
Vyakula punguza kula vyakula vya wanga kama wali, viazi, chapati na ugali na nyama nyekundu, ongeza kula matunda na kunywa maji. Mboga za majani na ikiwezekana chemsha ndizi za kijani ule na mchicha au cabbage.

Asante kwa usharudi mkuu...
Na hapo kwenye uwanga umepatia ndipo, maana mwenye hili tatizo amekuwa ni mtafunaji wa Michele mbichi kwa zaidi ya miaka 20! Anamaliza zaidi ya robo kilo kwa siku!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…