Tinted vehicles zina maana gani?

Tinted vehicles zina maana gani?

leipzig

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2013
Posts
2,766
Reaction score
1,708
Tangu nirudi hapa Tanzania nimeshuhudia magari mengi binafsi yakiwa na madirisha giza yaani tinted, nimejiuliza sababu za msingi ni nini nikakosa jibu.
Kwa mwenye kuelewa atuelimishe nadhani wengi wetu hatujui.
 
Nilishasema siku nyingi kwamba ukiona mtu ameweka vioo vya gari lake tinted ana "uhuni" fulani, we chunguza aina ya watu ambao hawana tint katika magari yao na wale walioweka tint utapata jibu; watakuambia "privacy" lakini privacy kwenye giza???.;;uhuni tu!!! Huo!
 
tinted ni urembo sambamba na spot tires na rim ya silver ukiona mtu ameweka tinted tu na hakuna urembo mwingine uyo anaweza kuwa na maana tofauti.
 
Wapo kweli wanaozitumia vibaya..lkn kwa mijini bana tinted pia zinasaidia kuwakatisha tamaa wadokozi wa vitu vya ndani kwenye magari mf. Redio au screens. Ukiacha kioo bila tinted. Ndani una redio nzuri lazma unawatempt wadokozi zaidi.. Bora uifiche kwa tinted wasione..
 
Kwa ajili ya kuwaibia wake za watu na kuwagegedea mule!!ushawahi ona gari linanyumba lenyewe likiwa limepaki?jiulize

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Wapo kweli wanaozitumia vibaya..lkn kwa mijini bana tinted pia zinasaidia kuwakatisha tamaa wadokozi wa vitu vya ndani kwenye magari mf. Redio au screens. Ukiacha kioo bila tinted. Ndani una redio nzuri lazma unawatempt wadokozi zaidi.. Bora uifiche kwa tinted wasione..
I concur with you
 
Tinted kwanza zinazuia jua. Na pili zinazuia wizi. Kwa sababu ukipark gizani hata mtu kusogelea achungulie kuna nini hawezi manake hajui ndani kuna mtu ama la.

Awazavyo mtu ndivyo alivyo, wezi wa wake za watu mnadhani kila mtu mwenzenu?
 
Tangu nirudi hapa Tanzania nimeshuhudia magari mengi binafsi yakiwa na madirisha giza yaani tinted, nimejiuliza sababu za msingi ni nini nikakosa jibu.
Kwa mwenye kuelewa atuelimishe nadhani wengi wetu hatujui.
Urudi kutoka wapi na umerudi lini na huko ulipotoka hakuna tinted kwenye magari ,majumba nk?
vp huko sababu zao-maana hapa msingi wake ni kama jina la hizo accessory "tint" inafanya sun screen,inazuia "macho kodo" kutoka nje ulijiuliza haya?
 
Mbona gari yoyote ukiipiga tint inapendeza? That is very obvious. Lakini pia inapunguza jua na kutamanisha kibaka. Mi nimeweka tint majuzi ni ugomvi tu mamsap, eti nataka kuanza bebea videm.
 
the thing is, hizi "tint" zinatumika vibaya hapa mjini, i get it inaweza tumika kuzuia jua, wizi, urembo and so on but it should be against the law kuwa na ile dark tint kabisa that u cannot even see a hand ndani ya gari kwa sababu ndio mwanzo wa uhalifu, ila watu sijui wanaona ni cool? the Police should actually stop them and have a quick look inside..its actually absurd that watu wanaachiwa tu kuwa na vioo vyeusi kabisa!..i think kuwa na light tint kwny vioo vyako ni sawa tu.
 
duu hii nayo imewekwa jukwaa hili.mods be serious.
 
the thing is, hizi "tint" zinatumika vibaya hapa mjini, i get it inaweza tumika kuzuia jua, wizi, urembo and so on but it should be against the law kuwa na ile dark tint kabisa that u cannot even see a hand ndani ya gari kwa sababu ndio mwanzo wa uhalifu, ila watu sijui wanaona ni cool? the Police should actually stop them and have a quick look inside..its actually absurd that watu wanaachiwa tu kuwa na vioo vyeusi kabisa!..i think kuwa na light tint kwny vioo vyako ni sawa tu.

Umbea tu unakusumbua wewe. Uone mkono wa mtu wa nini? Inakuhusu vipi? Tatizo la wabongo ni umbea unawasumbua. Hao polisi wenyewe magari yao yana tint. We hao wanaoiba na boda boda kila siku na kuuwa watu huko mjini wanakuwaga kwenye tint?
 
mpaka helmet za boda boda wanapiga tinted kudadeeki :glasses-nerdy:
 
Nilishasema siku nyingi kwamba ukiona mtu ameweka vioo vya gari lake tinted ana "uhuni" fulani, we chunguza aina ya watu ambao hawana tint katika magari yao na wale walioweka tint utapata jibu; watakuambia "privacy" lakini privacy kwenye giza???.;;uhuni tu!!! Huo!
Kwa hiyo na Obama naye ni muhuni? Angalia matumizi ya tinted kwenye post kama tatu hivi za wana jf hapo juu. Think out of the Box.
 
Nilishasema siku nyingi kwamba ukiona mtu ameweka vioo vya gari lake tinted ana "uhuni" fulani, we chunguza aina ya watu ambao hawana tint katika magari yao na wale walioweka tint utapata jibu; watakuambia "privacy" lakini privacy kwenye giza???.;;uhuni tu!!! Huo!
Hivi kumiliki bastola ni uhuni au ni ulinzi binafsi?
 
sio umbea,usiwe mswahili,sio kila mtu anahaja saaana ya kuona kujua kila kitu...ni kufuata utaratibu,ni kwa sababu ya uzembe wa traffic police wahafuatilii, kwani tunaongelea boda boda?is boda boda a car?!..kuna different ways that those people can be handled,wanajua mapolisi wenyewe, thread inaongelea abt tint in cars.and sijasema nione mkono..the expression you cannot even see a hand simply means its very dark u can't see a thing ndani,simple! ingekuwa vizuri if that kind of tint ingekuwa prohibited kama nchi zilizoendelea, anywy atleast kwa hapa Tz ni against the law kuweka tint kioo cha mbele, but nani anaangalia hiyo, mapolisi wenywe wanaacha watu wapite tu
 
the thing is, hizi "tint" zinatumika vibaya hapa mjini, i get it inaweza tumika kuzuia jua, wizi, urembo and so on but it should be against the law kuwa na ile dark tint kabisa that u cannot even see a hand ndani ya gari kwa sababu ndio mwanzo wa uhalifu, ila watu sijui wanaona ni cool? the Police should actually stop them and have a quick look inside..its actually absurd that watu wanaachiwa tu kuwa na vioo vyeusi kabisa!..i think kuwa na light tint kwny vioo vyako ni sawa tu.

Nimewahi kusoma mchezaji mmoja ulaya alipigwa fine kwa vile vioo vya gari yake vilikuwa tinted kupita allowable standard.

Walioko nchi za watu watatujuza
 
Gari bila kuwa tinted naona kama niko uchi vile.....
 
Nilishasema siku nyingi kwamba ukiona mtu ameweka vioo vya gari lake tinted ana "uhuni" fulani, we chunguza aina ya watu ambao hawana tint katika magari yao na wale walioweka tint utapata jibu; watakuambia "privacy" lakini privacy kwenye giza???.;;uhuni tu!!! Huo!


KUNA TINTED NA TENTED ..TINTED ZA PRIVACY HAZINA GIZA SANA NI KWA MBALI.....NA KUNA TINTED ZINAZOTAKIWA KUWEKWA KWENYE MAGARI MAALUM ...( kwa kibali) AMBAZO ZINA GIZA ASILIMIA 100 %

TATIZO SIKU HIZI HATA WEZI WA POWER WINDOW MAGARI YAO YANA TINTED KIASI CHA KUFANYA MTU WA KAWAIDA UNAYETAKA JAMII IKUHESHIMU USIWEKE TITED ASILIMIA MIA ...AT LEAST WEKA 75%......

Sheria ya KUMKAMATA TINTED ILIWAHI KUTEKELEZWA ZAMANI WAKATI KAMANDA WA POLISI DAR AKIWA TRYPHONE MAJI ....NA WAZIRI AKIWA MREMA( Na Naibu WAZIRI MKUU ).....ilikuwa Kama jina shughuli maalum huruhusiwi gari kuwa na tinted na MAGARI yote yenye tinted yalikuwa YANA Julikana
 
Back
Top Bottom