Jamani, hivi TIRDO, au Tanzania Industrial Research and Development inafanya kazi gani tena? Mbona hatujawahi kusikia popote kuhusu tafiti zao wanazofanya? Halafu wanafanya nini tofauti na ile tume ya sayansi iliyoko Kijitonyama?
Naombeni msaada nipate kuelewa tafadhali