Eng Chingy
Member
- Dec 5, 2016
- 86
- 54
Mi natafutaa tairi za treni, kiberenge changu kinashida nazo
Afadhali umechangia, nimekumbuka jinsi ulivyochora zombie kwenye mtihani wako wa kidato cha nneToa mapumbu uweke kwny kiberenge kitakua fasta kama dreamliner.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mkuu hyo rim ni no 8Kwani hizi tairi zinatofauti na tairi zingine? Hizo rim saizi gani
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa Bongo kupata ni kipengere mkuu?Inabidi kuagiza south tu hizo
8 KWANI NI YA BAJAJ?Mkuu hyo rim ni no 8
Sio rahisi mkuu, golf cart zenyewe c unajua mpaka hoteli za 5 star aisee.Kwa Bongo kupata ni kipengere mkuu?