Tishio jipya CCM

Ndio tatizo la kuwa na viongozi vikaragosi ambao always lazima wawe tayari kutetea wakubwa ili mambo yao yawanyookee wasijekatwa majina wakati muafaka utapofika what do you expect serukamba afanye kwa hali ya kisiasa KG?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…