Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 1,096
- 4,948
Gen Z movement zilianzia Kenya, zinaelekea Uganda na sasa zimebisha hodi Nigeria. Yapo mafanikio kadhaa yameanza kuonekana kama:
1. Marais kusitisha safari zao nje ya bara la Afrika kwenda kuomba
2. Baadhi ya bajeti zimefyekwa tumeona Kenya, Uganda na hata Tanzania
3. Mabadiliko ya mabaraza ya mawaziri na vyombo vya dola
4. Watawala wameanza kupunguza dharau kwa wananchi
5. Sera za ajira zimeanza kuangaliwa upya ikiwemo sekta ya umma kutoa matangazo mengi ya ajira tumeanza afya na elimu Tz
Hali hii ya maandamano inaathiri sana utendaji wa mazoea wa serikali kama za kwetu ambazo mtu akiwa kiongozi anatamani aombewe kila saa badala ya kufanya kazi.
Je, haya maandamano yanaweza kubeba taswira ya kile kilichotokea nchi za kiarabu? Let us wait and see.
1. Marais kusitisha safari zao nje ya bara la Afrika kwenda kuomba
2. Baadhi ya bajeti zimefyekwa tumeona Kenya, Uganda na hata Tanzania
3. Mabadiliko ya mabaraza ya mawaziri na vyombo vya dola
4. Watawala wameanza kupunguza dharau kwa wananchi
5. Sera za ajira zimeanza kuangaliwa upya ikiwemo sekta ya umma kutoa matangazo mengi ya ajira tumeanza afya na elimu Tz
Hali hii ya maandamano inaathiri sana utendaji wa mazoea wa serikali kama za kwetu ambazo mtu akiwa kiongozi anatamani aombewe kila saa badala ya kufanya kazi.
Je, haya maandamano yanaweza kubeba taswira ya kile kilichotokea nchi za kiarabu? Let us wait and see.