Tony254
JF-Expert Member
- May 11, 2017
- 16,017
- 16,431
Wivu battalion ya TZ ilikuwa inasema kwamba kitendo cha Kenya kulipiza kisasi kwa kuzuia ndege za UAE kutua Kenya haijazaa matunda. Hio ni uongo kwa sababu UAE wameamua kuondoa marufuku waliyokuwa wamewekea ndege kutoka Kenya. Mimi kutoka mwanzoni nilisema hawa wajinga waarabu wanastahili kushughulikiwa vivi hivi. Wakimwaga mboga tunamwaga ugali. Sasa wameshika adabu wamewachia. Next ni Tanzania, tukae ngumu na Tanzania maana wametuzoea sana.
Emirates Airline resumes flights to Nairobi after Dubai lifts suspension | Business Daily
www.businessdailyafrica.com