Titizo la kuwashwa

Mtandaoni

Senior Member
Joined
Jul 22, 2013
Posts
132
Reaction score
64
Wandg wapendwa poleni na mihangaiko ya kila siku, tatizo linalo nisumbua ni kuwashwa sehemu ya kichwa cha uume wangu yaan kunakuwa kama kuna mdudu anatembelea ndani, kujikuna ni shughuli inabidi niipikiche kila hadi sasa nahisi maumivu, isitoshe kuna vinundu vinatokea happened. Jaman labda kuna dawa ya ktibu tatizo hili naomben mwenzen nitibike. Au inaitwaje ili nkanunue.
 
nenda hospitali nakushauri tukucheki syphilis, kama kuna majimaji yanatoka pia.umenichekesha kauli zenu wagonjwa eti kuna kidudu kinanitembea.sorry pt wangu.nothng else tiba kamili hospital only.
 
nenda hospitali nakushauri tukucheki syphilis, kama kuna majimaji yanatoka pia.umenichekesha kauli zenu wagonjwa eti kuna kidudu kinanitembea.sorry pt wangu.nothng else tiba kamili hospital only.
poa bos anasnte kwa hili
 
Kata hicho kichwa ili kiote kingine kisichowasha......
 
huu ni ugonjwa wa kaswende ulifanya ngono bila kinga.wahi hospt ukapate dawa mapema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…