Pre GE2025 Tito Magoti: Kwenye hiki kinachoitwa ‘Faida za Maridhiano’ naomba, kwa heshima kubwa, nitofautiane na Mbowe

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mbona nyie wanasheria woote mkija humu mnamtetea lissu tu ????
Haya ngoja tuone nyie mnao kesha Clubhouse na akina sie nani atachukua uenyekiti ! Na niwaambie kabisa anzeni kabisa mradi wa kuanzisha chama chenu !
N a niwakumbushe tu enyi msiokumbuka , Bila mwamba saa hizi Lissu angekuwa shimo la Tewa !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…