TK shines brighter than as usual

gharama yake sasa, mwenzangu na mie tunaishia kuwasifia kwenye picha tu!
kakaaa mwanaumee wa ukweli haogopii garama,kamaa kitu umekipenda una kipigia miselee,wenginee wazurii kihivyo hawana garama kusinda kinaa mwajumaa kupii mkononi uswazii
 
utata hapo mi kwangu anayejua gemu tu.yaani ndio kilevi changu mengine siangalii sana lakini napenda kufurahisha macho na kusifia uumbaji wa Mungu
HIVI mwanamke mwenye sura nzuri na shape minus zero NA mwanamke mwenye sura mbaya na shape 100 plus,who is more desireable to a man in the long run??????
 
boyfriend ndo kaamua kurudi kanla hawjawa deported but for her she can always go back hana kasheshe na wamareani,wallahi nipate demu ananipenda hivi ningefurahije mimi hapa?yule demu namkubali ana mapungufu yake lakini anajua kupenda nakumbuka miaka ya 90 kabla hajaenda nje alikua na jmaa moja muhaya duh sijui yuko wapi yule jamaa.halafu huyu jamani hachiji kabisa
nilimwona facebook nikajua yupo holiday,nimeona u -turn wanamsema kawa deported i dont know which is which......:confused2::madgrin:
 
wewe una wivu tu huna lolote au wewe ni mange?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…