Kama Chadema watawakaribisha wapinzani wengine kwenye kambi hiyo Bungeni basi TLP iachwe kabisa kwani ni hatari kama UKIMWI. Mrema amekuwa akimpigia kampeni JK kwenye jimbo lake badala ya aliyekuwa mgombea Urais kupitia TLP.
Kumweka Mrema kwenye kambi hiyo mambo hayatakwenda kama itakavyokuwa inapangwa.
Nilikua natafakari kwa nini wana Vunjo walimuacha mgombea wa CCM na CHADEMA wakamchagua Mrema ambaye ni kada wa CCM , bali sijapata jibu sahihi ila ukweli ni kwamba Mrema akiingia kambi ya Upinzani ataleta shida kubwa sana ila kwasababu tuna vijana makini na viongozi makini wa upinzani tunaamini wiki ijayo Mambo yatakua vizuri na tutapata jibu bila shaka
Mzee GOMEZI
Nilikua natafakari kwa nini wana Vunjo walimuacha mgombea wa CCM na CHADEMA wakamchagua Mrema ambaye ni kada wa CCM , bali sijapata jibu sahihi ila ukweli ni kwamba Mrema akiingia kambi ya Upinzani ataleta shida kubwa sana ila kwasababu tuna vijana makini na viongozi makini wa upinzani tunaamini wiki ijayo Mambo yatakua vizuri na tutapata jibu bila shaka
Mzee GOMEZI