Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Ni lini Watanzania mlikuwa na Akili? Kuna mambo mengine mnamsingizia tu Magufuli. Mi sijawahi ona watanzania wana akili kwa miaka mingi sana. Labda kipindi cha Nyerere. Hapa katikati na umri wangu huu wa miaka 50+ sijawahi ona watanzania kwa wingi wakawa na akili. Magufuli alichofanya ni ku expose tu Upumbavu mwingi wa watanzania.ashakum si matusiWe acha tuu. Mwendazake alivuruga akili ya wengi. Yaani najiuliza huyu poti wangu angetutawala kwa miaka mingine mitano au kumi. Sijui kama taifa lingebaki na mtu mwenye uwezo wa kufikiria. Maana almost wote tukiongozwa na Kabudi na Gwajima tulikuwa tumeshakuwa wajinga kabisa.
Mkuu, Sky Eclat! Umeua kabisaa [emoji23]Ninaona hapa maana yake ni engrave
Kwa nini wasiitwe mzee? Wao ni chama halali waliosajiliwa kwa utaratibu halali! Vyama vyote vitaitwa, asiyetaka anaruhusiwa kukataa mwaliko.Kwa hiyo siku Mh Samia akikutana na Wapinzani TLP pia wataitwa?
Huyu injinia ameingiaje kwenye siasa badala ya kushughulikia kutatua matatizo kwenye kada zinazohitaji taaluma hiyo au ana kazi maalumu huko TLP?HAIWEZEKANI Chama cha Siasa kuibuka na kusema kinataka masuala ambayo yapo kwenye Ilani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) bali wanachama waeleze changamoto katika jamii zinatatuliwa kwa njia gani?
Umoja wa Vijana Chama cha Tanzania Labour Party (TLP) kupitia Mwenyekiti wa Vijana Taifa TLP, Eng.Aivan Maganza ameyasema wakati akizungumza na wandishi wa habari mkoani Dar Es Salaam leo. Amevitaka vyama vya upinzani nchini kuacha kumchonganisha Rais Samia Suluhu Hassan na wananchi kwa kitendo chao cha kudai katiba mpya ili hali suala hilo halipo katika ilani ya chama cha Mapinduzi (CCM).
Amesema kuwa kinachotakiwa ni kutatua changamoto katika jamii na si kuzungumzia vitu ambavyo havisaidii kutatua changamoto katika jamii.
"Tunachotaka ni Kwenye shida ya maji tunatoka vipi?, Kwenye mikopo ya Vijana tunatatuaje?, kuja kwenye jamii kueleza kuwa Umeme tutapelekaje vijijini, tunachotaka watoke waseme ni namna gani Reli ya Mwendo wa Haraka (SGR) inakamilikaje, watuambia mradi wa Rufiji unamalizikaje, hivi ndio vitu tunavyovitaka." Amesema Eng. Maganza
Hata hivyo alihoji Chama cha Siasa cha upinzani kinachodai Katiba Mpya, hilo fungu la fedha za kuanza kujadili Katiba Mpya linatoka wapi? Ingawa tumesikia bungeni wakati wa bunge la bajeti ya 2021/ 2021 hakuna bajeti ya kutengeneza Katiba mpya.
“Rais Samia alishasema kuwa atakutana na wapinzani, hizi haraka za wenzetu wa Chadema zinatoka wapi? huu ni wakati wa kumuacha Rais aliletee maendeleo Taifa letu ndipo hayo mambo mengine yafuate siku zote wanasiasa ndiyo wachochezi wa katiba mpya." Amesema Eng. Maganza
Amesema kuwa katika bajeti ya 2021/ 21 hakuna bajeti ya Katiba mpya hivyo kama chama cha siasa cha upinzani wasihangaika kuwasemea watanzania kuwa wanahitaji katiba mpya maana haina fungu la fedha.
Hata hivyo Eng. Maganza amesema kuwa kwa sasa vyama vya siasa viachane na dhana ya katiba mpya na waache Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania afanye kazi yake au wasubiri uchaguzi mwingine ndio waingine dhana ya katiba mpya.
Ameongeza kuwa wao kama TLP hawapo tayari kuona juhudi za Rais Samia Suluhu Hassan za kuijenga nchi hii zikififishwa na wanasiasa wenzao aliodai kuwa wengi wao wanakuwa na ajenda tofauti na siyo zenye lengo la kujenga na kuleta umoja wa watu wote.
Licha ya hayo Eng. Maganza ameomba Vijana wakumbukwe kupitia mikoa yao hadi ngazi ya Halmashauri waweze kuwezeshwa kutokana na fursa zilizopo huko ili wachangie Taifa kupata Pato na wao pia, hivyo amewataka wakuu wa wilaya, Wakurugenzi kusimamia hilo ili taifa lipige hatua.
Sometimes wewe ndiyo unaweza kuwa huna akili kiasi kwamba unawaona wenzako hawana akili! Refer historia za akina Galileo, Tesla, EinsteinNi lini Watanzania mlikuwa na Akili? Kuna mambo mengine mnamsingizia tu Magufuli. Mi sijawahi ona watanzania wana akili kwa miaka mingi sana. Labda kipindi cha Nyerere. Hapa katikati na umri wangu huu wa miaka 50+ sijawahi ona watanzania kwa wingi wakawa na akili. Magufuli alichofanya ni ku expose tu Upumbavu mwingi wa watanzania.ashakum si matusi
Kapandikizwa na CCMHuyu injinia ameingiaje kwenye siasa badala ya kushughulikia kutatua matatizo kwenye kada zinazohitaji taaluma hiyo au ana kazi maalumu huko TLP?
Kwani Mwenyekiti wake ana akili timamu?Hivi hiyo TLP haina vijana wenye akili timamu?
Vibaraka wa watawala dhalimuHAIWEZEKANI Chama cha Siasa kuibuka na kusema kinataka masuala ambayo yapo kwenye Ilani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) bali wanachama waeleze changamoto katika jamii zinatatuliwa kwa njia gani?
Umoja wa Vijana Chama cha Tanzania Labour Party (TLP) kupitia Mwenyekiti wa Vijana Taifa TLP, Eng.Aivan Maganza ameyasema wakati akizungumza na wandishi wa habari mkoani Dar Es Salaam leo. Amevitaka vyama vya upinzani nchini kuacha kumchonganisha Rais Samia Suluhu Hassan na wananchi kwa kitendo chao cha kudai katiba mpya ili hali suala hilo halipo katika ilani ya chama cha Mapinduzi (CCM).
Amesema kuwa kinachotakiwa ni kutatua changamoto katika jamii na si kuzungumzia vitu ambavyo havisaidii kutatua changamoto katika jamii.
"Tunachotaka ni Kwenye shida ya maji tunatoka vipi?, Kwenye mikopo ya Vijana tunatatuaje?, kuja kwenye jamii kueleza kuwa Umeme tutapelekaje vijijini, tunachotaka watoke waseme ni namna gani Reli ya Mwendo wa Haraka (SGR) inakamilikaje, watuambia mradi wa Rufiji unamalizikaje, hivi ndio vitu tunavyovitaka." Amesema Eng. Maganza
Hata hivyo alihoji Chama cha Siasa cha upinzani kinachodai Katiba Mpya, hilo fungu la fedha za kuanza kujadili Katiba Mpya linatoka wapi? Ingawa tumesikia bungeni wakati wa bunge la bajeti ya 2021/ 2021 hakuna bajeti ya kutengeneza Katiba mpya.
“Rais Samia alishasema kuwa atakutana na wapinzani, hizi haraka za wenzetu wa Chadema zinatoka wapi? huu ni wakati wa kumuacha Rais aliletee maendeleo Taifa letu ndipo hayo mambo mengine yafuate siku zote wanasiasa ndiyo wachochezi wa katiba mpya." Amesema Eng. Maganza
Amesema kuwa katika bajeti ya 2021/ 21 hakuna bajeti ya Katiba mpya hivyo kama chama cha siasa cha upinzani wasihangaika kuwasemea watanzania kuwa wanahitaji katiba mpya maana haina fungu la fedha.
Hata hivyo Eng. Maganza amesema kuwa kwa sasa vyama vya siasa viachane na dhana ya katiba mpya na waache Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania afanye kazi yake au wasubiri uchaguzi mwingine ndio waingine dhana ya katiba mpya.
Ameongeza kuwa wao kama TLP hawapo tayari kuona juhudi za Rais Samia Suluhu Hassan za kuijenga nchi hii zikififishwa na wanasiasa wenzao aliodai kuwa wengi wao wanakuwa na ajenda tofauti na siyo zenye lengo la kujenga na kuleta umoja wa watu wote.
Licha ya hayo Eng. Maganza ameomba Vijana wakumbukwe kupitia mikoa yao hadi ngazi ya Halmashauri waweze kuwezeshwa kutokana na fursa zilizopo huko ili wachangie Taifa kupata Pato na wao pia, hivyo amewataka wakuu wa wilaya, Wakurugenzi kusimamia hilo ili taifa lipige hatua.
Malaya wa kisiasa aibu, waishi kwa kufanyakazi.Mercenary tu hao!! Aliwahi kuwazungumzia Mwlm Nyerere wanasiasa wa namna hii.Mercenary tu!!
ipo ni tawi la CCM kama ilivyo ACT, mshara unatoka nyumba nyeupe.Hivi hiyo TLP bado ipo?
AKILI au MATOPE ?HAIWEZEKANI Chama cha Siasa kuibuka na kusema kinataka masuala ambayo yapo kwenye Ilani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) bali wanachama waeleze changamoto katika jamii zinatatuliwa kwa njia gani?
Umoja wa Vijana Chama cha Tanzania Labour Party (TLP) kupitia Mwenyekiti wa Vijana Taifa TLP, Eng.Aivan Maganza ameyasema wakati akizungumza na wandishi wa habari mkoani Dar Es Salaam leo. Amevitaka vyama vya upinzani nchini kuacha kumchonganisha Rais Samia Suluhu Hassan na wananchi kwa kitendo chao cha kudai katiba mpya ili hali suala hilo halipo katika ilani ya chama cha Mapinduzi (CCM).
Amesema kuwa kinachotakiwa ni kutatua changamoto katika jamii na si kuzungumzia vitu ambavyo havisaidii kutatua changamoto katika jamii.
"Tunachotaka ni Kwenye shida ya maji tunatoka vipi?, Kwenye mikopo ya Vijana tunatatuaje?, kuja kwenye jamii kueleza kuwa Umeme tutapelekaje vijijini, tunachotaka watoke waseme ni namna gani Reli ya Mwendo wa Haraka (SGR) inakamilikaje, watuambia mradi wa Rufiji unamalizikaje, hivi ndio vitu tunavyovitaka." Amesema Eng. Maganza
Hata hivyo alihoji Chama cha Siasa cha upinzani kinachodai Katiba Mpya, hilo fungu la fedha za kuanza kujadili Katiba Mpya linatoka wapi? Ingawa tumesikia bungeni wakati wa bunge la bajeti ya 2021/ 2021 hakuna bajeti ya kutengeneza Katiba mpya.
“Rais Samia alishasema kuwa atakutana na wapinzani, hizi haraka za wenzetu wa Chadema zinatoka wapi? huu ni wakati wa kumuacha Rais aliletee maendeleo Taifa letu ndipo hayo mambo mengine yafuate siku zote wanasiasa ndiyo wachochezi wa katiba mpya." Amesema Eng. Maganza
Amesema kuwa katika bajeti ya 2021/ 21 hakuna bajeti ya Katiba mpya hivyo kama chama cha siasa cha upinzani wasihangaika kuwasemea watanzania kuwa wanahitaji katiba mpya maana haina fungu la fedha.
Hata hivyo Eng. Maganza amesema kuwa kwa sasa vyama vya siasa viachane na dhana ya katiba mpya na waache Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania afanye kazi yake au wasubiri uchaguzi mwingine ndio waingine dhana ya katiba mpya.
Ameongeza kuwa wao kama TLP hawapo tayari kuona juhudi za Rais Samia Suluhu Hassan za kuijenga nchi hii zikififishwa na wanasiasa wenzao aliodai kuwa wengi wao wanakuwa na ajenda tofauti na siyo zenye lengo la kujenga na kuleta umoja wa watu wote.
Licha ya hayo Eng. Maganza ameomba Vijana wakumbukwe kupitia mikoa yao hadi ngazi ya Halmashauri waweze kuwezeshwa kutokana na fursa zilizopo huko ili wachangie Taifa kupata Pato na wao pia, hivyo amewataka wakuu wa wilaya, Wakurugenzi kusimamia hilo ili taifa lipige hatua.
Hivi ni kweli anahitaji watu wa kumsemea?HAIWEZEKANI Chama cha Siasa kuibuka na kusema kinataka masuala ambayo yapo kwenye Ilani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) bali wanachama waeleze changamoto katika jamii zinatatuliwa kwa njia gani?
Umoja wa Vijana Chama cha Tanzania Labour Party (TLP) kupitia Mwenyekiti wa Vijana Taifa TLP, Eng.Aivan Maganza ameyasema wakati akizungumza na wandishi wa habari mkoani Dar Es Salaam leo. Amevitaka vyama vya upinzani nchini kuacha kumchonganisha Rais Samia Suluhu Hassan na wananchi kwa kitendo chao cha kudai katiba mpya ili hali suala hilo halipo katika ilani ya chama cha Mapinduzi (CCM).
Amesema kuwa kinachotakiwa ni kutatua changamoto katika jamii na si kuzungumzia vitu ambavyo havisaidii kutatua changamoto katika jamii.
"Tunachotaka ni Kwenye shida ya maji tunatoka vipi?, Kwenye mikopo ya Vijana tunatatuaje?, kuja kwenye jamii kueleza kuwa Umeme tutapelekaje vijijini, tunachotaka watoke waseme ni namna gani Reli ya Mwendo wa Haraka (SGR) inakamilikaje, watuambia mradi wa Rufiji unamalizikaje, hivi ndio vitu tunavyovitaka." Amesema Eng. Maganza
Hata hivyo alihoji Chama cha Siasa cha upinzani kinachodai Katiba Mpya, hilo fungu la fedha za kuanza kujadili Katiba Mpya linatoka wapi? Ingawa tumesikia bungeni wakati wa bunge la bajeti ya 2021/ 2021 hakuna bajeti ya kutengeneza Katiba mpya.
“Rais Samia alishasema kuwa atakutana na wapinzani, hizi haraka za wenzetu wa Chadema zinatoka wapi? huu ni wakati wa kumuacha Rais aliletee maendeleo Taifa letu ndipo hayo mambo mengine yafuate siku zote wanasiasa ndiyo wachochezi wa katiba mpya." Amesema Eng. Maganza
Amesema kuwa katika bajeti ya 2021/ 21 hakuna bajeti ya Katiba mpya hivyo kama chama cha siasa cha upinzani wasihangaika kuwasemea watanzania kuwa wanahitaji katiba mpya maana haina fungu la fedha.
Hata hivyo Eng. Maganza amesema kuwa kwa sasa vyama vya siasa viachane na dhana ya katiba mpya na waache Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania afanye kazi yake au wasubiri uchaguzi mwingine ndio waingine dhana ya katiba mpya.
Ameongeza kuwa wao kama TLP hawapo tayari kuona juhudi za Rais Samia Suluhu Hassan za kuijenga nchi hii zikififishwa na wanasiasa wenzao aliodai kuwa wengi wao wanakuwa na ajenda tofauti na siyo zenye lengo la kujenga na kuleta umoja wa watu wote.
Licha ya hayo Eng. Maganza ameomba Vijana wakumbukwe kupitia mikoa yao hadi ngazi ya Halmashauri waweze kuwezeshwa kutokana na fursa zilizopo huko ili wachangie Taifa kupata Pato na wao pia, hivyo amewataka wakuu wa wilaya, Wakurugenzi kusimamia hilo ili taifa lipige hatua.
Tena kati ya vipendelemu muhimu chakubadilisha kwenye hiyo katiba nzee ni hicho kipengele cha rais akifariki akiwa madarakani makamu wake anapanda cheo nakua raisi moja kwa moja.Ili ni jambo lakuangalia sana.alafu ukiona katiba inakanyagwa jua iyo imetengenezwa hivyo na wajanja kuacha huo mwanya wa wao kuikanyaga.ila tukiwa serious kwenye hili nakwambia hakuna mtu atakayethubutu huo ujinga.Kwani Katiba Mpya haiwezi kukanyangwa! Hapa cha msingi wakati wote ni utashi wa kisiasa wa viongozi wetu kuisimamia katiba. Mfano juzi JPM alipofariki katiba ya 1977 imetuvusha kupata Rais,nashauri kuipitia Katiba isiwe fashion au kufanya kwa mihemko kwa ajenda ya siri hili ni jambo kubwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaahTLP mgombea wao wa u Rais 2025 ni mama Samia?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ninaona hapa maana yake ni engrave