Cute Wife
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 1,906
- 5,000
Wakuu,
Nini kinaendelea? Kuna kifinyo kimepita au ni vibunda?🤔🤔
====
Kupata taarifa na matukio kuhusu uchaguzi serikali za mitaa ingia hapa: LGE2024 - Dar es Salaam: Matukio yaliyojiri kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Novemba 27, 2024
Chama cha Upinzani nchini Tanzania TLP kimesema kuwa uchaguzi wa serikali za mitaa uliomalizika ulikuwa huru na haki ila changamoto ni kuwa vyama vya upinzani havikujiandaa vyakutosha kama CCM na ndio sababu ya vyama hivyo kushindwa kupata viongozi wengi waliochaguliwa ukilinganisha na CCM.
Nini kinaendelea? Kuna kifinyo kimepita au ni vibunda?🤔🤔
====
Kupata taarifa na matukio kuhusu uchaguzi serikali za mitaa ingia hapa: LGE2024 - Dar es Salaam: Matukio yaliyojiri kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Novemba 27, 2024
Chama cha Upinzani nchini Tanzania TLP kimesema kuwa uchaguzi wa serikali za mitaa uliomalizika ulikuwa huru na haki ila changamoto ni kuwa vyama vya upinzani havikujiandaa vyakutosha kama CCM na ndio sababu ya vyama hivyo kushindwa kupata viongozi wengi waliochaguliwa ukilinganisha na CCM.