TLS ni chama cha serikali hakikuanzishwa na mawakili bali na sheria ya bunge tena la kikoloni

TLS ni chama cha serikali hakikuanzishwa na mawakili bali na sheria ya bunge tena la kikoloni

comte

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2011
Posts
9,019
Reaction score
6,825
Mawakili na wanachama a TLS ni watu wajivuni sana; wanajiona sana kiasi kwamba na wao wenyewe wanajitambulisha kama wasomi. Lakini TLS hawakuianzisha wao; walianzishiwa na serikali.

Halafu wanatupigiza kelele hapa kana kwamba ni watu wa mhimu sana kuliko wengine. wanazidiwa na walimu ambao wana CWT ambao wakizeguana wanaanzisha CWT MAREJEO wanasonga mbele.
 
Mawakili na wanachama a TLS ni watu wajivuni sana; wanajiona sana kiasi kwamba na wao wenyewe wanajitambulisha kama wasomi. Lakini TLS hawakuianzisha wao; walianzishiwa na serikali. halafu wanatupigiza kelele hapa kana kwamba ni watu wa mhimu sana kuliko wengine. wanazidiwa na walimu ambao wana CWT ambao wakizeguana wanaanzisha CWT MAREJEO wanasonga mbele.
Mbona una hasirq sana Kwan chama chako kinaitwaje?
 
TLS ilianzishwa na serikali ya wazungu wakoloni mwaka 1954
 
Si na wewe uwe Wakili??

Kwan ya mwenzako yanakuuma nn?
 
TLS ilianzishwa na serikali ya wazungu wakoloni mwaka 1954
Hata Kenya

Bila kuwepo kusheria mawakili wangepata nguvu wapi ya kisheria ya wao kuwa mawakili au kuingia mahakamani?
 
Hata Kenya

Bila kuwepo kusheria mawakili wangepata nguvu wapi ya kisheria ya wao kuwa mawakili au kuingia mahakamani?
Sidhani kama hiyo ndiyo ilikuwa dhamira. Walimu wanapata wapi nguvu ya kwenda kufundisha?
 
Mawakili na wanachama a TLS ni watu wajivuni sana; wanajiona sana kiasi kwamba na wao wenyewe wanajitambulisha kama wasomi. Lakini TLS hawakuianzisha wao; walianzishiwa na serikali. halafu wanatupigiza kelele hapa kana kwamba ni watu wa mhimu sana kuliko wengine. wanazidiwa na walimu ambao wana CWT ambao wakizeguana wanaanzisha CWT MAREJEO wanasonga mbele.
Tofautisha chama cha wafanyakazi na vyama vya kitaaluma

TLS ni chama cha kitaalums hivyo vingine ni vyama vya wafanyakazi tu
 
Wanakera sana mkuu
Wanakukera kwa sababu wakili ni mtu wa kuhoji, na kupima matokeo ya sheria iliyotungwa ina athari zipi sio kusubiri mpaka tukio litokee ndio maana mtu kama wewe huelewi kwamba sasa hi kizazi cha kuhoji usipojibu watakukera tu maana hutapata amani ya akili na moyo (no peace of mind unless you respond to the challenges posed against you with water holding evidence).
 
Wanakukera kwa sababu wakili ni mtu wa kuhoji, na kupima matokeo ya sheria iliyotungwa ina athari zipi sio kusubiri mpaka tukio litokee ndio maana mtu kama wewe huelewi kwamba sasa hi kizazi cha kuhoji usipojibu watakukera tu maana hutapata amani ya akili na moyo (no peace of mind unless you respond to the challenges posed against you with water holding evidence).
Ndivyo unavyoelewa? Na mtafiti je?
 
Tofautisha chama cha wafanyakazi na vyama vya kitaaluma

TLS ni chama cha kitaalums hivyo vingine ni vyama vya wafanyakazi tu
Ualimu siyo taaluma? Niambie ni kitu gani kwa akili zako siyo taaluma?
 
Kwahiyo kwa kuwa imeanzishwa na sheria ya bunge basi ni ya serekali, vyama vya upinzani vilianzishwa kwa sheria ya bunge so navyo ni vya serekali?
 
Kwahiyo kwa kuwa imeanzishwa na sheria ya bunge basi ni ya serekali, vyama vya upinzani vilianzishwa kwa sheria ya bunge so navyo ni vya serekali?
Vyama vya siasa vimejipangia vyenyewe namna ya kufanya mambo yao. TLS hata katiba na kanuni ni sheria na kanuni za bunge na waziri wa sheria.
 
Vyama vya siasa vimejipangia vyenyewe namna ya kufanya mambo yao. TLS hata katiba na kanuni ni sheria na kanuni za bunge na waziri wa sheria.
Vipi kuhusu mahakama??
 
Back
Top Bottom