TANZIA TLS wamlilia Wakili Ojare

TANZIA TLS wamlilia Wakili Ojare

SeriaJr TW

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2012
Posts
246
Reaction score
224
Chama cha mawakili Tanganyika (TLS) kimepata pigo baada ya aliyekuwa mwanachama cha Chama hicho wakili Loomu Ojare kufariki dunia ghafla akiwa kazini.

Ojare alifariki dunia na kuzikwa nyumbanj kwake mapema skku kadhaa zilizopita baada ya kuugua ghafla akiwa kazini na hivyo kuacha pengo kubwa katika tasnia ya sheria.

Mwenyekiti wa chama cha mawakili wa kujitegemea Kanda ya Arusha Elibariki Maeda akiiwakilisha TLS katika ibada ya kumuaga Ojare alisema kifo cha Ojare ni pigo kwa Chama na wanachama wa chama hicho kwa kuwa alikuwa akishirikiana vizuri na mawakili wenzake

Ojare alizaliwa mwaka 1953 na alifanya kazi kama mwanasheria wa serikali katika maeneo mbalimbali ambapo mwaka 1983 alianza kufanya kazi kama wakili wa kujitegemea hadi umauti unamkuta.

IMG-20210316-WA0023.jpg
 
Alikuwa one of the best criminal deffence lawyer in Tanzania and probably East Africa in general Mungu amlaze pema peponi
Nakumbuka ile kesi ya majambazi wa NMB moshi na nyinginezo za jinai ndio ilikua mishe zake.
 
Apumzike kwa amani.

Chanjo inayozodolewa kijima na mzee baba ilikuwa na nafasi ya kuokoa maisha ya mja wake mola huyu.
UK Government Report.

Pfizer vaccine adverse reactions


Execution date: March 4, 2021


* Blood disorders: 2,033

* Cardiac disorders: 1,032

* Congenital disorders: 3

* Hearing disorders: 713

* Endocrine disorders: 10

* Eye disorders: 1,242 (12 blinds)

* Gastrointestinal disorders: 9,360

* General disorders: 26,391

* Liver disorders: 17

* Immune system disorders: 466

* Infections: 1,863

* Injuries: 393

* Continued Investigations: 965

* Metabolic disorders: 525

* Muscle-tissue disorders: 11,565

* Neoplasms: 20

* Nervous System Disorders: 16,107

* Associated with pregnancy: 29

* Psychiatric disorders: 1,235

* Renal / urinary disorder: 187

* Syst. Reproductive: 338

* Respiratory disorders: 3,575

* Skin disorder: 6,042

* Vascular disorders: 992

* Dead: 212

* Medical and Surgical Procedures: 45

* Coronavirus (COVID-19) vaccine adverse reactions

🚩What's disturbing is this is a weekly report😳
 
Apumzike kwa amani.

Chanjo inayozodolewa kijima na mzee baba ilikuwa na nafasi ya kuokoa maisha ya mja wake mola huyu.
Agent wa Chanjo za kugandisha damu nakuona uko kazini,unaipambania chanjo lakini wapi! Na huku kwenye Chanjo nako utashindwa tu Kama ulivyoshindwa kule kwenye Barakoa!!
 
Agent wa Chanjo za kugandisha damu nakuona uko kazini,unaipambania chanjo lakini wapi! Na huku kwenye Chanjo nako utashindwa tu Kama ulivyoshindwa kule kwenye Barakoa!!

Yuko wapi mzee baba.

Chanjo ingaliweza kumsaidia.

Lini tunasikia toka kwake?
 
Back
Top Bottom