Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
TLS [Chama cha Wanasheria Tanganyika] kikiongozwa na rais wake Machachari Boniface Anyunywile Mwabukusi kimetoa tamko ambalo kwa vijana wa kijani wanaona kama ni kuchamana na Ndumbaro.
chama hicho kimeelezea kusikitihwa na kitendo cha Ndumbaro ambaye ni waziri wa sheria kukabishi gari la msaada tena kutoka kwa wahisani LEGAL SECTOR REFORM PROGRAM [LSRP]kuwataka kutotoa matamko dhidi ya ukandamizaji wowote.
Ikumbukwe, Ndumbaro ni Wakili mwenye Kampuni iitwayo MELETA AND NDUMBARO ADVOCATES inayofanya shughuli zake Dar es salaam lakini hawa hawa mawakili ndio kama wanangusha sekta ya Sheria.
KWA KIFUPI TLS imeonyesha namna ambavyo hata Ndumbaro alivyo mweupe kichwani na hajui:
Soma Pia: Waziri Ndumbaro: Serikali haipendi kabisa matamko ya kukurupuka ya TLS
======
chama hicho kimeelezea kusikitihwa na kitendo cha Ndumbaro ambaye ni waziri wa sheria kukabishi gari la msaada tena kutoka kwa wahisani LEGAL SECTOR REFORM PROGRAM [LSRP]kuwataka kutotoa matamko dhidi ya ukandamizaji wowote.
Ikumbukwe, Ndumbaro ni Wakili mwenye Kampuni iitwayo MELETA AND NDUMBARO ADVOCATES inayofanya shughuli zake Dar es salaam lakini hawa hawa mawakili ndio kama wanangusha sekta ya Sheria.
KWA KIFUPI TLS imeonyesha namna ambavyo hata Ndumbaro alivyo mweupe kichwani na hajui:
Soma Pia: Waziri Ndumbaro: Serikali haipendi kabisa matamko ya kukurupuka ya TLS
- TLS imeanzishwa na Sheria ya Bunge, Sura No. 307 na Majukumu yake yapo ibara ya 4 ya sheria hiyo.
- Tangu kuanzishwa kwa TLS imekuwa ikifanya kazi kwa mujibu wa sheria na kanuni zake. Mfano TLS ilipinga wananchi kuondoshwa Ngorongoro na serikali ikatii
- Matamko ya TLS yanatolewa kwa mujibu wa kifungu cha nne cha sheria ya TLS.
- TLS imepewa gari, gari
- limesajiliwa na SErikali, namba ni STN, mali ya Wizara ya Sheria na Katiba na limetolwa msada na LEGAL SECTOR REFORM PROGRAM.
- TLS imemtaka ndumbaro anedelee kushirikana nao.
======