BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,591
- 8,826
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imesema leo Aprili 8, 2024 dunia inatarajia kushuhudia tukio la Kupatwa kwa Jua Kikamilifu ambapo Mwezi utazuia kabisa Mwanga wa Jua, hata hivyo tukio hilo halitakuwa na athari zozote kwa upande wa Tanzania
TMA imesema nchi zitakazoshuhudia zaidi tukio hilo ni za Bara la Amerika Kaskazini kupitia Mexico, Marekani na Canada. Kwa upande wa Tanzania hali hiyo haitaonekana kwasababu iko eneo la mbali kutoka njia ya Kupatwa kwa Jua Kikamilifu.
Unakumbuka nini katika Matukio ya Kupatwa kwa Jua na Mwezi?
TMA imesema nchi zitakazoshuhudia zaidi tukio hilo ni za Bara la Amerika Kaskazini kupitia Mexico, Marekani na Canada. Kwa upande wa Tanzania hali hiyo haitaonekana kwasababu iko eneo la mbali kutoka njia ya Kupatwa kwa Jua Kikamilifu.
Unakumbuka nini katika Matukio ya Kupatwa kwa Jua na Mwezi?