johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mamlaka ya hali ya hewa nchini imesema mvua zinazoendelea kunyesha zimesababishwa na mgandamizo mdogo wa hali ya hewa katika bahari ya hindi.
Mvua hizi zinatarajiwa kupungua sana siku ya kesho.
Chanzo: Upendo tv
Maendeleo hayana vyama!
Mvua hizi zinatarajiwa kupungua sana siku ya kesho.
Chanzo: Upendo tv
Maendeleo hayana vyama!