TMA: Usahihi wa taarifa za hali ya hewa umeongezeka hadi 80%

TMA: Usahihi wa taarifa za hali ya hewa umeongezeka hadi 80%

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) wamewataka wananchi kuchukua tahadhari zinazotolewa kwa kuwa ufanisi wa utabiri umeongezeka hadi kufikia 80% kutokana na wataalamu wenye weledi na vifaa vya kisasa wanavyotumia

TMA inaendelea kutahadharisha wananchi kuhusu kimbunga JOBO ambacho wamesema kisipobadilisha uelekeo Aprili 25, 2021 kitapiga Dar es Salaam

Aidha kunatajiwa kuwa na mvua na upepo ukanda wa pwani wa bahari ya Hindi. Maeneo mengine yanayotabiriwa kupata athari za moja kwa moja ni Mtwara, Lindi na Kisiwa cha Unguja

 
Hakikisha unachokitumia kisizidi nusu ya kile unachokipata.
 
Nakioma kinasogea sogea tu taratibu
Screenshot_20210423-123735.jpg
 
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) wamewataka wananchi kuchukua tahadhari zinazotolewa kwa kuwa ufanisi wa utabiri umeongezeka hadi kufikia 80% kutokana na wataalamu wenye weledi na vifaa vya kisasa wanavyotumia

TMA inaendelea kutahadharisha wananchi kuhusu kimbunga JOBO ambacho wamesema kisipobadilisha uelekeo Aprili 25, 2021 kitapiga Dar es Salaam

Aidha kunatajiwa kuwa na mvua na upepo ukanda wa pwani wa bahari ya Hindi. Maeneo mengine yanayotabiriwa kupata athari za moja kwa moja ni Mtwara, Lindi na Kisiwa cha Unguja


Wanadanganya kazi kwa makadirio hadi wasikie CNN imeripoti na wao ndio watoe Tahadhari.
 
Mara tar 25 Tena tareh 26
Kwani kimbunga chenyewe kinasemaje
 
Back
Top Bottom