TMA vs BBC/CNN weather forecast: Mama Kijazi mnakosea wapi?

TMA vs BBC/CNN weather forecast: Mama Kijazi mnakosea wapi?

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
44,629
Reaction score
83,056
Kwa wiki kama mbili nyuma sasa, TMA walitoa utabiri kuwa kutakuwa na mvua kubwa mikoa ya ukanda wa pwani ya Tanzania. Haikutokea mpaka leo hii hakuna mvua. Jana nikaangalia BBC/CNN weather wakasema coast of Tanzania with a mentin of DSM kutakuwa na mvua. Kweli sasa hivi niadikapo mvua kubwa inanyesha. TMA mama Kijazi mnakosea wap? Kuna siku ulisema utabiri wenu Mwendazake kauboresha kwa kuwanunulia vifaa bora na predictability yenu ni over 96% wakati si kweli! Weledi wenu ukoje?
 
Kwa wiki kama mbili nyuma sasa, TMA walitoa utabiri kuwa kutakuwa na mvua kubwa. Haikutokea mpaka leo hii. Jana nikaangalia BBC/CNN weather wakasema coast of Tanzania with a mentin of DSM kutakuwa na mvua. Kweli sasa hivi niadikapo mvua kubwa inanyesha. TMA mama Kijazi mnakosea wap? Kuna siku ulisema utabiri qwenu Mwendazake kauboresha na predictability yenu ni over 96% wakati si kweli! Weledi wenu ukoje?
na wanakula pesa zetu za kodi nyingi sana hawa wanajilipa mipesa alafu kazi yao ni ovyooo...
 
Hawa jamaa tatizo vifaa vya kazi,tatizo awamu ile kila mja alitaka kumfurahisha bwana mkubwa.Hivyo kila walicho nunua walikipamba kwa sifa kuu hata kama ni famba ili mkuu sana asifiwe na alivyokuwa mlevi wa sifa naye alijipiga kifua "nani mwingine atafanya haya yote kama mimi"(rejea uzinduzi wa fly over tazara)Ukweli TMA kwa vifaa ili kufikia hiyo 96% bado ndio maana wanaweza kusema Morogoro itanyesha mvua kubwa kumbe ni msamvu tu kihonda haifiki tutafute vifaa vyenyewe sio majaribio ya vifaa vya jamaa zetu macho madogo
 
Bbc / cnn wapo juu kiteknolojia wana super computer zenye uwezo mkubwa wa kufanya mahesabu ya kutabiri na wana satelite zipo juu vilevile zinatumika kutabiri ufanisi wao ni karibu 98%-99%

Tma wana rada ambazo huonyesha hali ya hewa wakati wa tukio sio utabiri kabla ya tukio
 
Bbc / cnn wapo juu kiteknolojia wana super computer zenye uwezo mkubwa wa kufanya mahesabu ya kutabiri na wana satelite zipo juu vilevile zinatumika kutabiri ufanisi wao ni karibu 98%-99%

Tma wana rada ambazo huonyesha hali ya hewa wakati wa tukio sio utabiri kabla ya tukio
Kijazi alisema wana vifaa kumbe ilikuwa kumpamba Jiwe. Uko sahihi kabisa
 
Bbc / cnn wapo juu kiteknolojia wana super computer zenye uwezo mkubwa wa kufanya mahesabu ya kutabiri na wana satelite zipo juu vilevile zinatumika kutabiri ufanisi wao ni karibu 98%-99%

Tma wana rada ambazo huonyesha hali ya hewa wakati wa tukio sio utabiri kabla ya tukio
So watuachie hizo kazi wananchi tutabiri wakati wa tukio.
 
Acha ujinga na wewe Utabiri kwa kingereza ni Kubet.Unaeza kubet ikawa kweli ama si kweli.
 
Kama hawawezi wafunge hiyo mamlaka tutakuwa tunaangalia mawingu kama enzi za mababu zetu
 
Watakuwa wamegeuza vifaa, hawajaunganisha inavyotakiwa, haiwezekani kula wakitoa utabiri inakuwa ni opposite, hawajawahi kupatia hata kidogo
 
Kwa wiki kama mbili nyuma sasa, TMA walitoa utabiri kuwa kutakuwa na mvua kubwa mikoa ya ukanda wa pwani ya Tanzania. Haikutokea mpaka leo hii hakuna mvua. Jana nikaangalia BBC/CNN weather wakasema coast of Tanzania with a mentin of DSM kutakuwa na mvua. Kweli sasa hivi niadikapo mvua kubwa inanyesha. TMA mama Kijazi mnakosea wap? Kuna siku ulisema utabiri wenu Mwendazake kauboresha kwa kuwanunulia vifaa bora na predictability yenu ni over 96% wakati si kweli! Weledi wenu ukoje?
Hata BBC/CNN walishakupitia huko baada ya kuona vyanzo walivyokuwa wanategemea vya kiserekali kuwapa taarifa ambazo hazikuwa sahihi walianzisha deparments zao na kuwa na vifaa vya kasasa kwaajili ya utabiri.
 
Hata BBC/CNN walishakupitia huko baada ya kuona vyanzo walivyokuwa wanategemea vya kiserekali kuwapa taarifa ambazo hazikuwa sahihi walianzisha deparments zao na kuwa na vifaa vya kasasa kwaajili ya utabiri.
umenena
 
Back
Top Bottom