Cute Wife
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 1,906
- 5,000
Wakuu,
ANGALIZO la mvua kubwa limetolewa kwa maeneo machache ya Ukanda wa Pwani ya Kaskazini mwa bahari ya Hindi (Mikoa ya Tanga, Dar es salaam, Morogoro, Pwani (ikijumuisha visiwa vya Mafia) pamoja na visiwa vya Unguja na Pemba), Nyanda za Juu Kaskazini Mashariki (Mikoa ya Arusha, Kilimanjaro na Manyara), Kati mwa nchi (Mikoa ya Singida na Dodoma), Magharibi mwa nchi (Mikoa ya Kigoma, Tabora na Katavi) na Nyanda za Juu Kusini magharibi (Mikoa ya Rukwa, Mbeya, Iringa na Njombe).
UWEZEKANO WA KUTOKEA: MDOGO
KIWANGO CHA ATHARI ZINAZOWEZA KUTOKEA: KUBWA
Athari zinazoweza kujitokeza: Baadhi ya makazi kuzungukwa na maji.
Zingatia na jiandae.
ANGALIZO la mvua kubwa limetolewa kwa maeneo machache ya Ukanda wa Pwani ya Kaskazini mwa bahari ya Hindi (Mikoa ya Tanga, Dar es salaam, Morogoro, Pwani (ikijumuisha visiwa vya Mafia) pamoja na visiwa vya Unguja na Pemba), Nyanda za Juu Kaskazini Mashariki (Mikoa ya Arusha, Kilimanjaro na Manyara), Kati mwa nchi (Mikoa ya Singida na Dodoma), Magharibi mwa nchi (Mikoa ya Kigoma, Tabora na Katavi) na Nyanda za Juu Kusini magharibi (Mikoa ya Rukwa, Mbeya, Iringa na Njombe).
UWEZEKANO WA KUTOKEA: MDOGO
KIWANGO CHA ATHARI ZINAZOWEZA KUTOKEA: KUBWA
Athari zinazoweza kujitokeza: Baadhi ya makazi kuzungukwa na maji.
Zingatia na jiandae.